much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,952
- 11,125
Unauhakika kama kulikuwa hakuna chakula hukoWanaume wawili wameokolewa nchini Uturiki wakiwa bado wana uhai baada ya siku 13 kupita tangu tetemeko la ardhi kupita nchini mwao, wakati wana sayansi wanatuambia kwamba binaadamu hawezi kuishi baada ya siku 5 mwanaume na siku 7 mwanamke, kwasababu eti mwili wa binaadamu kuhitaji maji na chakula ilikuwa hai, kwa kilichogundulika nchini Uturuki sayansi imekuwa proved wrong.
Jamani amini Allah ndo anaetoa uhai wa binaadamu na ndo anaeuchukua.View attachment 2525457
Sent using Jamii Forums mobile app