Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 11,616
- 5,443
mimi ninachojua miaka mia sita baada ya habari za yesu kuna mtu aliibuka na kudaia kaoteshwa aanzishi dini na kashushiwa vitabu ambavyo ni copy and paste ya vitabu vya kiyahudi na biblia na yule mtu akasema hajasoma popote kwakuwa yeye hajui kusoma na kuandika kwaiyo aaminiwe?
Wewe umethibitisha kuwa ni copy and paste ya vitabu vya kiyahudi ?? Lete mfano mmoja tu wa hiyo copy and paste.