Allah alimfundisha Mtume kutengeneza Kimea

Allah alimfundisha Mtume kutengeneza Kimea

🤣🤣🤣🤣.Kwa Hyo umungu amejivua,utume amejivua na utoto wa Mungu amejivua.
Hapo ni MWANA WA DAUDI MTOTO WA MARIAM🤣🤣🤣🤣
Ngoja nikupe shule mjingamimi
Shule ya Kienyeji:

Tukienda kupiga ramri kwa mgangamchawi:

Unamkuta mtu unaongea naye na kumweleza shida zako:
Yeye hana uwezo wa kuagua:
Anapandisha Jini au Mzimu au Pepo:

Pepo linaanza kuongea tiba yako ufanye hivi na hivi utapona:

Au flani anakuroga
Halafu linaondoka mganga anarudi kwenye fahamu na kukusisitiza ufanye ulichoambiwa:

Hivi ndugu Yangu mjingamimi
Hapo umekutana na watu wangapi?
Aliye kuelekeza tiba ni yule mtu mganga, au Lile Pepo au Mzimu?

Tuanzie hapa kwanza kabla sijakupeleka ulimwegu wa Roho:

Mganga mwingine unakuta yanaongea Mapepo Kumi tofauti tofauti au zaidi yakitumia mdomo wa huyo Mganga:
Ushawahi kukutana na hiyo hali mjingamimi ?

Unauliza maswali ya kitoto sana:
 
Ngoja nikupe shule mjingamimi
Shule ya Kienyeji:

Tukienda kupiga ramri kwa mgangamchawi:

Unamkuta mtu unaongea naye na kumweleza shida zako:
Yeye hana uwezo wa kuagua:
Anapandisha Jini au Mzimu au Pepo:

Pepo linaanza kuongea tiba yako ufanye hivi na hivi utapona:

Au flani anakuroga
Halafu linaondoka mganga anarudi kwenye fahamu na kukusisitiza ufanye ulichoambiwa:

Hivi ndugu Yangu mjingamimi
Hapo umekutana na watu wangapi?
Aliye kuelekeza tiba ni yule mtu mganga, au Lile Pepo au Mzimu?

Tuanzie hapa kwanza kabla sijakupeleka ulimwegu wa Roho:

Mganga mwingine unakuta yanaongea Mapepo Kumi tofauti tofauti au zaidi yakitumia mdomo wa huyo Mganga:
Ushawahi kukutana na hiyo hali mjingamimi ?

Unauliza maswali ya kitoto sana:
Sasa kama ya kitoto mbona umeshindwa kujibu?.
Inakuwaje hapo anaengea awe yesu mwana wa DAUDI na sio YESU MUNGU?.
MAANA YESU ANASEMA NA UZIMA WA MILELE NDO HUU WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA KWELI NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA.sasa hapo yesu sio mungu Tena?
 

Kumbuka hapa Isaya hasemi majina yake bali
Jina lake:
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu
1. mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa
jina lake,
2. Mshauri wa ajabu,
3.Mungu mwenye nguvu,
4.Baba wa milele,
5. Mfalme wa amani.

Hivi hapa umeambulia chochote mjingamimi?
Najua umetoka 0%

Halafu utasikia
"Tunaijua sana Biblia"🤣🤣🤣
 
Hivi
mjingamimi
Kile kijiti kilichokuwa kinawaka moto pale Bonde la tua:
Kikamwambua Nabii Musa avue viatu Msikitini:

Hivi pale kulikuwa kinaongea
a) Kijiti
b) kijinga Cha Moto
c) Allah
d) Gibrili
e) Mungu
f) Muhamadi
Chagua Jibu Moja mjingamimi
 
Hivi
mjingamimi
Kile kijiti kilichokuwa kinawaka moto pale Bonde la tua:
Kikamwambua Nabii Musa avue viatu Msikitini:

Hivi pale kulikuwa kinaongea
a) Kijiti
b) kijinga Cha Moto
c) Allah
d) Gibrili
e) Mungu
f) Muhamadi
Chagua Jibu Moja mjingamimi
Mbona yule aliyekamatwa alfajiri na kijana aliyekuwa uchi pale kwenye vichaka vya Gesthemane umemsahau kwenye List yako?
 
Sisi Wakristo tunaijua hapa
Anaongea Nani na hatuna haja ya Kuelekezwa na watu wengine ndugu yangu mjingamimi labda ukitaka kuelimishwa tulia tukuelimishe na sio kijifanya Mjuaji:
 
Mbona yule aliyekamatwa alfajiri na kijana aliyekuwa uchi pale kwenye vichaka vya Gesthemane umemsahau kwenye List yako?
Kama wewe umemkumbuka huyo Kijana ni sawa tu:
Najua ndio fani unayo ipenda sana
 
udanganyifu wa “ufufuo wa Yesu siku ya tatu” kama ilivyoelezwa katika Luka 24:44-48:




Luka 24:44-48 (Tafsiri Rahisi ya Kiswahili)


  1. Yesu akawaambia, “Hii ndiyo ile niliyokuwa nikiwaambia ninyi nikiwa bado pamoja nanyi: Kila kitu kilichoandikwa juu yangu katika Sheria ya Musa, Mitume, na Zaburi lazima kitimizwe.”
  2. Kisha akafungua akili zao ili waelewe Maandiko.
  3. Akawaambia, “Hii ndiyo imeandikwa: Kristo atateswa na kufufuka kutoka kwa wafu siku ya tatu.”
  4. “Na toba na kusamehewa dhambi zitahubiriwa kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia Yerusalemu.”
  5. “Ninyi ndimi mashahidi wa mambo haya.”



Ufafanuzi Rahisi:


  1. Luka 24:44-48 inadai kuwa imeandikwa katika Sheria ya Musa kwamba Yesu atakufa na kufufuka siku ya tatu.
  2. Tatizo ni kuwa Agano la Kale (Taurati, Manabii, na Zaburi) halina unabii wowote unaosema kwamba Yesu atafufuka siku ya tatu.
  3. Hivyo, kauli ya Luka kuhusu “ufufuo wa siku ya tatu” ni kudanganywa au kutafsiriwa kinyume na ukweli wa Maandiko ya Agano la Kale.
  4. Hii ni moja ya kazi za ubaguzi na upotoshaji zilizofanywa katika Injili za Agano Jipya.

Uhusiano na Qur’an:


  • Katika makala yangu Answering Isaiah 53, nimeonyesha wazi kwamba Agano la Kale linaungwa mkono na Qur’an: Yesu hakufyatuliwa msalabani na hakufufuka siku ya tatu.
  • Qur’an inasema wazi kwamba Yesu alishinda adui zake kwa njia ya Mungu, lakini hakufyatuliwa (Qur’an 4:157-158).

Hitimisho Rahisi:


  • Injili ya Luka inadai jambo ambalo halionekani hata kidogo katika Maandiko ya Agano la Kale.
  • Hii inaonyesha kuwa Injili hiyo inaingiliana na ukweli wa kihistoria na kiimani.
  • Hivyo, ni muhimu kuona kwamba udanganyifu huu unaonyesha kwamba Injili za Agano Jipya hazina usahihi wa moja kwa moja wa kihistoria, tofauti na Qur’an iliyohifadhiwa kwa usahihi mkubwa.


Kwati ya agano la kale na quruan na agano jipya na quruan kipi kilitangulia kuandikwa?
 
Si nimekupa a,b,c hapo?
Wewe ndio useme aliongea nani
Pale Bonde la Tua
Ukiweza weka hiyo Aya ili watu waisome
Hyo ipo.haya niambie yesu aliposema na UZIMA WA MILELE NDO HUU WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA KWELI NA YESU KRISTO aliyemtuma alikuwa ana maanisha nini
 

Attachments

  • Screenshot_20251230-130022.jpg
    Screenshot_20251230-130022.jpg
    164.3 KB · Views: 7
Hyo ipo.haya niambie yesu aliposema na UZIMA WA MILELE NDO HUU WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA KWELI NA YESU KRISTO aliyemtuma alikuwa ana maanisha nini
Sasa wewe huelewi nini hapo?
Yesu kaongea ndio
Kaongea hivi
Yohana 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

Tulia soma vizuri hizo Aya utagundua kitu:
 
Sasa wewe huelewi nini hapo?
Yesu kaongea ndio
Kaongea hivi
Yohana 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

Tulia soma vizuri hizo Aya utagundua kitu
Kwa hyo. Kuna baba na Kuna mwana.
alafu Kuna mungu wa peke na kweli alafu Kuna aliyetumwa.
Ila WOTE hao ni MMOJA 🤣🤣🤣.
Nitakufa muislam
 
Kwa hyo. Kuna baba na Kuna mwana.
alafu Kuna mungu wa peke na kweli alafu Kuna aliyetumwa.
Ila WOTE hao ni MMOJA 🤣🤣🤣.
Nitakufa muislam
Soma kitabu rahisi Qurani
Kwa akili zako huwezi kuielewa Biblia:
Msalimie Jagina
Ngoja nikuchanganye zaidi kwa hizi Aya mbili:

Yohana 10:3
Kama sizitendi kazi za Baba yangu, msiniamini;
38 lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na kufahamu ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.

Soma tu Qurani ndugu yangu mjingamimi
Inaeleweka kiurahisi sana:
Iko strait to the point
 
Soma kitabu rahisi Qurani
Kwa akili zako huwezi kuielewa Biblia:
Msalimie Jagina
Ngoja nikuchanganye zaidi kwa hizi Aya mbili:

Yohana 10:3
Kama sizitendi kazi za Baba yangu, msiniamini;
38 lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na kufahamu ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.

Soma tu Qurani ndugu yangu mjingamimi
Inaeleweka kiurahisi sana:
Iko strait to the point
Huyo yohana aliandika hiyo injili kama nani wakati yesu mwenyewe hakuwepo!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom