Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,907
- 11,367
Je, sasa ni wakati sahihi kusema all roads lead to Beijing ? Au ni kama ajali imetokea tu ziara za viongozi mbalimbali wa mataifa makubwa kuongozana Beijing ?
Nini hasa kinacho sukuma kwa sasa viongozi wakubwa kutii mguu Beijing kwa kipindi cha hivi karibuni ?
Ukiondoa ziara hii ya leo ya Trump Beijing hapo nyuma kidogo viongozi wa mataifa ya Asia,Ulaya,Canada wametia mguu Beijing na Putin naye imeripotiwa ataenda Beijing.
Je, siasa za kidunia ndio zinaji badilisha taratibu uelekeo ukiwa Beijing au ushawishi wa China umeongezeka mara dufu kwa sasa au ni sababu tu za kiuchumi ?
Nini hasa kinacho sukuma kwa sasa viongozi wakubwa kutii mguu Beijing kwa kipindi cha hivi karibuni ?
Ukiondoa ziara hii ya leo ya Trump Beijing hapo nyuma kidogo viongozi wa mataifa ya Asia,Ulaya,Canada wametia mguu Beijing na Putin naye imeripotiwa ataenda Beijing.
Je, siasa za kidunia ndio zinaji badilisha taratibu uelekeo ukiwa Beijing au ushawishi wa China umeongezeka mara dufu kwa sasa au ni sababu tu za kiuchumi ?