Mfalme amekamilisha alichokuwa anataka kitokee sasa ana Bunge la ndiyo mzee...Yeye ni Mfalme wa Tanzania, huwezi kumtoa kwa sanduku la kura na yote anayoyataka yeye hufanyika ipasavyo.
Hahahaha tunatafuta connection, mmetuchelewesha sana na pingapinga yenuWakati wa kampeni Magufuli alisikika akisema, nileteeni diwani na mbunge wa CCM, alikua na uhakika wa ushindi wake. Yale aliyosema yote yametimia. Majimbo karibu yote ya Tanzania yame pata diwani, mbunge na Magufuli wa CCM.
Ni kwanini tupate tabu tena kuhangaika na uchaguzi 2025. Hizi pesa tunazopoteza kwenye uchaguzi ilhali Magufuli anachosema kinakua si kheri zisaidie ujenzi wa barabara za lami vijijini na maji salama ya kunywa.
Pangeni sherehe ya kumuapisha Magufuli awe Mfalme wetu. Tutekeleze kauli zake kwani tume fanya hivyo kwa miaka mitano. Ata pata nafasi ya kuteua anaowapenda wamsaidie kuuongoza ufalme wake.
Kipigo walichopata raia wasio na silaha waliojaribu tu kuandamana ili kupaza sauti ya uchaguzi usio na haki, kinatosha kutufahamisha kuwa tunatakiwa kuiabudu CCM. Ukihoji maagizo kutoka juu imekula kwako.
Mataputapu mabaya sana asubuhi wenzio wanakunywa chai wewe wanywa hayo unategemea kichwa kuwa sawa hichoKumbe Amsterdam ndo atazaa na tundu? Basi na ww jaribu waweza beba mimba
Mkuu relax utaumwa magonjwa ya moyo bure RELAX! Hii ni afrikaWengi hawaelewi kuwa hili shimo litawaumiza mpaka wajukuu zetu.
Wakati wa kampeni Magufuli alisikika akisema, nileteeni diwani na mbunge wa CCM, alikua na uhakika wa ushindi wake. Yale aliyosema yote yametimia. Majimbo karibu yote ya Tanzania yame pata diwani, mbunge na Magufuli wa CCM.
Ni kwanini tupate tabu tena kuhangaika na uchaguzi 2025. Hizi pesa tunazopoteza kwenye uchaguzi ilhali Magufuli anachosema kinakua si kheri zisaidie ujenzi wa barabara za lami vijijini na maji salama ya kunywa.
Pangeni sherehe ya kumuapisha Magufuli awe Mfalme wetu. Tutekeleze kauli zake kwani tume fanya hivyo kwa miaka mitano. Ata pata nafasi ya kuteua anaowapenda wamsaidie kuuongoza ufalme wake.
Kipigo walichopata raia wasio na silaha waliojaribu tu kuandamana ili kupaza sauti ya uchaguzi usio na haki, kinatosha kutufahamisha kuwa tunatakiwa kuiabudu CCM. Ukihoji maagizo kutoka juu imekula kwako.
Kwa hiyo jamaa sasa hivi una miaka 65,miaka yote umesubiri japo kupata mabadiliko lakini panatoka patupu.Usiwe na wasiwasi; maisha yataendelea kama kawaida; asiyekubali kushindwa siyo mshindani. Mimi nlianza na kadi ya TANU Youth League mwaka 1973, halafu baadaye nikapata kati ya CCM mwaka 1978, na baadaye nikapata kadi NCCR-Mageuzi mwaka 1995 baadaye nikapata kadi ya CHADEMA 2009. Kadi zote hizo bado ninazo na wala siyo mfuasi wa chama chochote tena na maisha yanaendelea tu.
Sasa umechangia nini hapo; unatishwa na umri wangu? Ni kweli mimi siyo mtoto wa jana, ndiyo maana ninachangia kwa busara ambazo wato hawajui.Kwa hiyo jamaa sasa hivi una miaka 65,miaka yote umesubiri japo kupata mabadiliko lakini panatoka patupu.
But usihofu wajukuu na vitukuu vyako ipo siku watayapata.
Wengi hawalijui hili, so sad!Wengi hawaelewi kuwa hili shimo litawaumiza mpaka wajukuu zetu.