Kim Il Kwon
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,219
- 1,033
nakemea sana vitendo vya kudhihaki imani ya mtu. huyu jamaa hakutenda vema kabisa. mimi ni mkristu haswa ila naheshimu sana imani za wengine kama ambavyo mimi pia nataka waiheshimu imani yangu. kitendo cha jamaa kuweka nyama ya nguruwe msikitini nakilaani sana. btw, apumzike panapomstahili.