TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu amefariki dunia

Huko nje hawafi?
 
nisiwe mnafiki,hawa watu wa kijani wafe tu tena wafe,hawa ndio bungeni kazi yao huwa ni ndiooooo na kupiga vigelegele.
 
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani na awape faraja wafiwa wote katika wakati huu mgumu na wa majonzi. Amina
 
Duniani tunapita tu!!
Ni kweli kabisa tunapita,ila wale wanaojifanyaga sana kuwadhulumu na kuwatesa wenzao kwahilo basi wakumbuke kuwa hapa duniani tunapita,maamuzi wanayopewa na viongozi wao hayatawasaidia siku ya kufa na katika kaburi utakalolazwa,Jamani tuishini kwa adabu na heshima katika hii dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…