Aliyewahi kulipwa na Timebucks

Aliyewahi kulipwa na Timebucks

Amaizing Mimi

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2019
Posts
527
Reaction score
1,160
Bila shaka ni wazima wa afya.Katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii ishu ya kufanya research online pia kufanya kazi ndogondogo kwenye website ya timebucks.Nilijiunga na kuanza kufanya vikazi vyao.

Ikumbukwe ili uweze kulipwa ni lazima ufikishe 10 USD.Nilifikisha hizo dola kumi na ili ulipwe kuna njia tofauti za malipo.Mimi nilichagua paypal,nikafanya kila kitu ili niweze kulipwa.

Nilipokamilisha taratibu zote timebucks walinitumia email kuwa sasa ninaweza kulipwa baada ys kukamilisha taratibu.Lakini toka nikamilishe ni zaidi ya mwezi sijalipwa kila nikiingia kwenye akaunti yangu nakuta salio bado lipo badala ya wao kulituma kwenye akaunti yangu ya paypal.

Kama kuna mtu amewahi kulipwa naomba msaada.
 
Bila shaka ni wazima wa afya.Katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii ishu ya kufanya research online pia kufanya kazi ndogondogo kwenye website ya timebucks.Nilijiunga na kuanza kufanya vikazi vyao.

Ikumbukwe ili uweze kulipwa ni lazima ufikishe 10 USD.Nilifikisha hizo dola kumi na ili ulipwe kuna njia tofauti za malipo.Mimi nilichagua paypal,nikafanya kila kitu ili niweze kulipwa.

Nilipokamilisha taratibu zote timebucks walinitumia email kuwa sasa ninaweza kulipwa baada ys kukamilisha taratibu.Lakini toka nikamilishe ni zaidi ya mwezi sijalipwa kila nikiingia kwenye akaunti yangu nakuta salio bado lipo badala ya wao kulituma kwenye akaunti yangu ya paypal.

Kama kuna mtu amewahi kulipwa naomba msaada.
Nani alikwambia PayPal inapokea malipo TANZANIA ? ,PayPal unaweza kutumia kwa kufanyia malipo tu hapa Tanzania na si vinginevyo ,huwezi pokea pesa Kwa PayPal TANZANIA ,na ni kilio cha muda mrefu Kwa hustlers WA kazi za mtandaoni na trading .
Labda utafute line ya safaricom ya Kenya
Au utafute mtu ambaye ana bank account details za Kenya
 
Sina hata mtu ninae mjua kenya
Nani alikwambia PayPal inapokea malipo TANZANIA ? ,PayPal unaweza kutumia kwa kufanyia malipo tu hapa Tanzania na si vinginevyo ,huwezi pokea pesa Kwa PayPal TANZANIA ,na ni kilio cha muda mrefu Kwa hustlers WA kazi za mtandaoni na trading .
Labda utafute line ya safaricom ya Kenya
Au utafute mtu ambaye ana bank account details za Kenya
 
Back
Top Bottom