Peke yako huwezi, humo kuna hesabu kdg , lugha na kwa ujumla unapimwa IQ yako, mi nilifanya ila ajabu sijajibiwa km nimfail au lah.hio mnaipiga mande maana muda nao ni mdogo sana.Unataka kudesa
Ulifeli ukiona wapo kimya.Peke yako huwezi, humo kuna hesabu kdg , lugha na kwa ujumla unapimwa IQ yako, mi nilifanya ila ajabu sijajibiwa km nimfail au lah.hio mnaipiga mande maana muda nao ni mdogo sana.
Wakuu naombeni mnipe hints za test ya hawa jamaa aisee nina 48 hrs za kuipiga hio mambo ila sijajua kwamba naenda kukutana na kitu gani ili niandae mashambulizi
Kila la kheri MkuuWakuu ilibidi niandae Test Assistant aliekuwa mkabala na google 😁😁😁 nimeipiga so far naona sio ngumu kama ambavyo nilipata Review za awali ila kupata 100/100 sina shaka ila 80/100 naweza fika
Ukifaulu wanatoa cheti ama?😉Nilikuwa na mjumbe mkuu mmoja katika baraza la mtihani😁!!! Ashukuriwe mgunduzi wa google
Alistair ni Kampuni ya nini?So Hio aptitude TEST ni kwa kazi yoyote ile?Wale wa ajira wanaoajiri serikali wangekuwa POA sana kam hivi mitihani vyao wanavyokusanyaga watu wangekuwa wanavirusha tu online.Hamna ila unakuwa na Eligibility ya kuomba kazi yeyote toka Alistair Group ambayo utakuwa unasifa zake.
Ni international company ya Logistics. Ingependeza sana kuliko kupotezea watu nauli. Mitihani iwe timed tu very simple yani.Alistair ni Kampuni ya nini?So Hio aptitude TEST ni kwa kazi yoyote ile?Wale wa ajira wanaoajiri serikali wangekuwa POA sana kam hivi mitihani vyao wanavyokusanyaga watu wangekuwa wanavirusha tu online.
Test zao zinakuwa kama zile Pymetric Test za Makampuni mengine kama Diageo?Hamna ila unakuwa na Eligibility ya kuomba kazi yeyote toka Alistair Group ambayo utakuwa unasifa zake.