mkorosho
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 554
- 600
Ni vibaya but polisi wetu wamejuruhi mioyo ya wengi, wamebambikiza kesi, wameua,wanakula rushwa,kuna watu wanaulemavu wa kudumu kwa sababu polisi wamekosa weledi. So huwezi jua huyo aliye comment vibaya anauchungu gani. Polisi wetu wanatakiwa warudi depo upya