FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,069
- 40,732
Siongei chochote, ila nauliza tu, baada ya kubandua, hizo namba zinapofutika, ndio Camera za polisi zinaweza kusoma?
==========================
=========================
==========================
Hili la kusema Mashine zao hazina uwezo wa kusoma 3d plate no Ni uongo mwepesi Sana , Ina maana ndani ya kipindi chote ambapo 3d zimekuwepo , gari zenye 3d zimekuwa hazikamatwi na torch zao ? Binafsi nilishakamatwa na hizo camera nikiwa nadaiwa na gari ilikuwa na 3d
=========================
==========================Kuna wengine wanaweka
KUNA MTU MAALUM KAMPUNI MAALUM SOON ATAANZA YEYE KUZIWEKA HIZO 3D NUMBERS PLATE
WANAZUNGUKA TU MBUYU HAO
ova