waafrica hatuna sheria za kanisa. Ila kwa kuwa tulizipokea, kuzikubali na kuzifanya zetu, hatuna budi kuzitii na kuzifuata
Sisi waislam swala la mavazi msikini ni non negotiable liko wazi, ukitaka kuvaa uchi nenda huko kwa wanaotunga sheria na kuzipitia time to time,, quran haipitiwi ni kusoma na kuelewa kama hutaki basi sio mwislam ,, very clear, ni ajabu na kweli mnampenda mama yetu mariam mama wa Yesu ila mavazi yake ya hijab hamyataki[/QUOT Quran imetungwa kwa kuegezea Bibilia,Uislam unaamini kwamba Lucifer ni muislam safi ambae ni jini,hata hivyo Lucifer huyuhuyu ndio Mungu wa freemasons na Kikristo Lucifer ndio shetani mkuu yaani Ibilisi.
Koran inasema kuna majini ambao ni waislam safi akiwemo Lucifer ambaye ni Ibilisi kwa mujibu wa bible.
Ni kama vile anasema, "e-kilatu change cha bulaya wa kinyamula? ulayemanya! Ka- tuleebe".View attachment 104206naona anamuonyesha katekisita kiatu cha wingereza ha!ha!
kiatu kimetoka kwa Bi. Elizabeth bwana utamwambia nini sasa wewe KATEKISTA!!!!!!
Hii point yako naikubali. ila sasa kanisani sometimes walegeze hizo sheria za kuvaa kwa kuwa sio wote wenye uzoefu wa kuingia kanisani. wengine wanaenda kama hivyo kwenye kushuhudia ndoa. sasa kumtia aibu ina maana gani
Bojo kaziloo!!!Ni kama vile anasema, "e-kilatu change cha bulaya wa kinyamula? ulayemanya! Ka- tuleebe".
Mungu anaweza pia kukunyima miguu ya kuvaa viatu. Jambo la huyu dada linasikitisha sana kuona jinsi alivyogangamala wakati anafahamu fika kuwa alikuwa kinyume na maelekezo. Kanisani kwetu ilitangazwa kuwa mtu akija kufunga harusi akiwa mabega wazi ataazimwa joho la kwaya ili afungiwe ndoa. Akitoka nje atarudisha joho aende zake uchi kama alivyokuja. Thubutu, nani anataka aharibu mkanda wa video akiwa anafunga ndoa na joho la kwaya? Wanajitahidi kuja na mitandio au vitop ambavyo baadae wakiwa ukumbini wanavitoa. Naonaga aibu kweli bi arusi anapomkumbatia babake au kakake huku yuko uchi mabega yote! Aibu!Hivi hapa ppangekuwa msikitini angethubutu hata kujadili ujinga wa kiatu cha Uingereza; what is Uingereza mbele ya utakatifu wa Mungu. God can give you shoes that last for 40 years kama alivyowapa wana wa Israel sembuse huo ujinga kutoka uingereza?.
Watu wa aina hii usiwajibu kwani hawajui wasemalo. Mtu mwenye roho wa Mungu hupenda kuwasaidia wahitaji na si kuwazushia au kuwakashifu. Na wengi wanaamini kua wakikariri mistari mingi kwenye bible ili wabishane wanadhani huo ndio utakatifu. Kumbe wanasahau unaweza ukazama kwenye ujumbe flani na ukauishi ikatosha.Absolutely, amepigiliwa ujinga na vijidhehebu waganga njaa anakuja kutapika hapa bila kujuwa anachoandika. Wewe unapopretend kuokoka or whatever haalafu ukasema uongo ulio dhahiri bila shaka unadhihirisha kuwa unaongozwa na pepo mchafu wala roho mtakatifu hayupo ndani yako. Unaponiambia mimi Mkatoliki naabudu sanamu wakati sijawahi kufanya hivyo, ama hujui maana ya kuabudu na ulokole wako feki, au pepo linalokuongoza limekudanganya hivyo.
Lol naona mwenzenu mwataka kumchanganya kabisa, umefukunyua wapi mpaka ukapata haya mapicha
wakatoliki wanashangaza sana local radio zao baada ya kusalisha rozari wanapiga mugongomugongo na alaji,
kanisani kwao wamejaza masanamu na kuyaabudu jambo ambalo ni chukizo kwa Mungu.
Wanamuabudu mungu mke wanamuita mama kanisa [yezebeli] ila wao wamemtungia jina wanamuita 'mama bikira maria'
Angalia ghafla na sherehe zao ni mtindo wa lager kwa kwenda kia mpaka askofu tena wanaziombea kabisa,
Wamebadili amri kumi za Mungu ukisoma kitabu cha KUTOKA zile amri ni tofauti na walizojiundia wao,
Hawatumii Biblia na hata waumini wakienda nazo ni bure wanatumia kitabu chao kinaitwa misali ya waomini ambayo masomo waliopanga vatican ndo hayo tu watakayosoma ambayo ni 2% tu ya Biblia nzima.
Hakuna kumpelekea maombi Mungu lazima umpelekee mama kanisa kwanza walifukua mifupa yake na kujidanganya eti amepaa mbinguni,
Wanaabudu wafu na kufanya ibada za kuwaomba mizimu wao wanawaita watakatifu jambo ambalo ni kinyume kabisa cha NENO.
Wanaenda kuwanyenyekea na kuwaomba toba wanadamu tena wa dhambi wa kawaida kabisa eti wawaondolee dhambi.
nikija kwenye hili sakata siungi mkono watu kuvaa nguo zisizo na heshima ila Yesu alikuja kwa waliopotea alijichanganya na makahaba, majambazi na mafisadi hakuwahi kuwahukumu bali aliwapa NENO ambalo lilibadilisha maisha yao,
sehemu kama kanisa sio kwaajili ya waliohaki bali waliopote pale ndo mahala pa kuwakusanya waasherati, machangudoa walevi, wezi, waongo na wenye dhambi wote ili wapewe NENO la uzima hivyo wangetumia mwanya huo kuwahubiria namna ya kuvaa kwa staa na sio kuwafukuza,
kwani Yesu alikuja kutafuta kilichopotea tena akasema utaijua kweli nayo kweli itakuweka huru,
wakatoliki badilikeni na wewe mkatoliki unaefikiri unamwabudu Mungu wa kweli katika Roho na Kweli jitafakari usijekuwa unaabudu kinachoabudiwa vatican ambacho ni chikizo mbele za Mungu.
Kwa style hii lazima atimbe jf kwa magoti hahahaaaaaa,jf kilakitu bhana hapana chezea....
The point hapa is that we should not misquote the past to mistreat women. since we only copied how to dress we should not be so excessive on limiting the copying. The disgusting issue here is that it only applies to women so that men can feel less horny? or whats the logic? If the matter is so important let it go into the constitution so that women know that they are breaking the law when they show there knees or whatever it is that you don't want women to show.