chash
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 548
- 230
waafrica hatuna sheria za kanisa. Ila kwa kuwa tulizipokea, kuzikubali na kuzifanya zetu, hatuna budi kuzitii na kuzifuata
Hii point yako naikubali. ila sasa kanisani sometimes walegeze hizo sheria za kuvaa kwa kuwa sio wote wenye uzoefu wa kuingia kanisani. wengine wanaenda kama hivyo kwenye kushuhudia ndoa. sasa kumtia aibu ina maana gani