Aliyetengeneza Smart phones ni mchawi mkuu duniani!

Aliyetengeneza Smart phones ni mchawi mkuu duniani!

Uchawi huu ni kwa waafrika tu wenye ulimbukeni, wenzetu wanajipangia muda wa kufanya mambo ya kipumbavu
 
hii addiction ya smart phone siyo bongo tu..,ni globally. Tena sie hapa bongo bado hakuna walevi wa smartphone kama baaadh ya nchi zilizoendelea kama USA.,Australia, Hongkong, UK na nyingnezo..,Kama mmekuwa mkifuatilia media wenzetu huko wanalala nje kwenye foleni kwa siku mpaka tatu wakisubiria ingizo jipya la smartphone ( Iphone 6 & Iphone 6 plus) kwa mwaka huu. Ila nina shaka kidogo kwenye matumiz kama nao huwa wanashinda mda mwingi kwenye whatsap kutuma ujinga kama wengi hapa bongo wanafanya
 
Charity begins at home.
Naomba nikupe ka nokia twandu twa tochi inipe hizo zenye uchawi.
 
Mkuu tofautisha Nguo na CM nguo ukishaivaa utaakuwa unajiangalia kila.wakati?


Hahahaaaa, kuivaa nguo ni sehemu ya matumizi, na hasa kama ukiipenda si inachakalia mwilini?
 
Charity begins at home.
Naomba nikupe ka nokia twandu twa tochi inipe hizo zenye uchawi.

Mashaxizo uko pande zipi nikupatie? Ila kuna kauchawi kengine mtu unakapenda tuu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
hii addiction ya smart phone siyo bongo tu..,ni globally. Tena sie hapa bongo bado hakuna walevi wa smartphone kama baaadh ya nchi zilizoendelea kama USA.,Australia, Hongkong, UK na nyingnezo..,Kama mmekuwa mkifuatilia media wenzetu huko wanalala nje kwenye foleni kwa siku mpaka tatu wakisubiria ingizo jipya la smartphone ( Iphone 6 & Iphone 6 plus) kwa mwaka huu. Ila nina shaka kidogo kwenye matumiz kama nao huwa wanashinda mda mwingi kwenye whatsap kutuma ujinga kama wengi hapa bongo wanafanya
Mkuu hii ni kweli tupu, niliishuhudia last year US!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yaani kila anayepiga picha akaona nzuri anaanika mtandaoni. Mbaya zaidi wadada zangu, picha inayoonesha maungo vzr ndo anatupiaaaa! Mmmh kaaazi haswa!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ni taabu tupu sijui baadae waanzishe elimu ya matumizi sahihi ya mitandao na madhara nafikiri itakua bora
 
Ni mtazamo wako tu ndugu ww na akili yako kukichwa .Kila kitu na ratiba zake.
 
Mvumbuzi wa smart phone ni mchawi kwasababu kawafanya watu ku concentrate kwenye smart phone!? This is poor thinking, mbona huzungumzii aliyegundua nguo ambazo tunakuwa nazo mwilini muda mwingi (usiku tumejifunika, na mchana tumevaa)?

Hii hoja yako imeonyesha uwezo wako wa kufikiri ulipoishia. Hivi unajua nini kuhusu tamadhali za semi? Hapo ametumia sitiari yaan kamfananisha aliyegundua smartphone na mchawi pasipo kutumia maneno "mithili" "kama" na maneno mengine kama hayo. Mkuu, acha kukurupuka. Lengo la mwandishi lilikuwa ni kutumia fani katika bandiko lake ili maudhui husika yafike bila kuchosha
 
Ni taabu tupu sijui baadae waanzishe elimu ya matumizi sahihi ya mitandao na madhara nafikiri itakua bora

Hili darasa na mie ntahudhuria na kuhimiza wengi tu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hii hoja yako imeonyesha uwezo wako wa kufikiri ulipoishia. Hivi unajua nini kuhusu tamadhali za semi? Hapo ametumia sitiari yaan kamfananisha aliyegundua smartphone na mchawi pasipo kutumia maneno "mithili" "kama" na maneno mengine kama hayo. Mkuu, acha kukurupuka. Lengo la mwandishi lilikuwa ni kutumia fani katika bandiko lake ili maudhui husika yafike bila kuchosha
Asante sana Dawa yenu as hakika ulichoandika ni dawa haswaa!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hee hii kali sasa, umewahi kufuatilia tatizo ni nini? Manake ingekuwa hivyo kwa wote nazani nchi ingeamua kuweka sheria ya kutumia nokia ya tochi kwa wote! Pole sana best!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

natumia blackberry Q5 ni smart phone lakini natumia tu kama simu ya kawaida,kuna nini ndani ya hiyo blackberry Q5?
 
mm nimeamua kuuza tu natumia cmu simple tu yakuingilia fb kupata vinewz kwasababu ilikuwa nafika kipindi hata sisomi(am student) muda wote whatsup mara instagram bac shida tu
 
Hahahaaaa, kuivaa nguo ni sehemu ya matumizi, na hasa kama ukiipenda si inachakalia mwilini?

Kamanda nguo kuchakalia.Mwilini kizamani nw mchina karahisha mambo,,,!! Unajua cm inavyoshikwa muda wt na km ukivaa nguo ndo unajiangalia namna hiyo yaani ingekuwa fully vituko,,,!
 
natumia blackberry Q5 ni smart phone lakini natumia tu kama simu ya kawaida,kuna nini ndani ya hiyo blackberry Q5?

Dada rosemarie bora ubaki huvijui vilivyomo, ukivijua utaishia kuhisi ka umerogwa na watengenezaji! Full kupoteza muda.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
mm nimeamua kuuza tu natumia cmu simple tu yakuingilia fb kupata vinewz kwasababu ilikuwa nafika kipindi hata sisomi(am student) muda wote whatsup mara instagram bac shida tu
Umefanya jambo la maana as ungeng'ang'ania ungeishia kufali tu. Shikiria msimamo wako, soma kwanza.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hii hoja yako imeonyesha uwezo wako wa kufikiri ulipoishia. Hivi unajua nini kuhusu tamadhali za semi? Hapo ametumia sitiari yaan kamfananisha aliyegundua smartphone na mchawi pasipo kutumia maneno "mithili" "kama" na maneno mengine kama hayo. Mkuu, acha kukurupuka. Lengo la mwandishi lilikuwa ni kutumia fani katika bandiko lake ili maudhui husika yafike bila kuchosha

Dah umenikumbusha o-level kiswahili,,duh
 
Naamini watengenezaji walikua na lengo zuri,ila watumiaji ndio kila mtu na matumizi yake! Addiction nyingine ni za kujitakia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom