Mwalupale
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,048
- 676
Facebook facebook Twitter umekuwa Mungu wa kanisa la leoooo! Alisahau watsup!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Instagram unaiacha mkuu??
Facebook facebook Twitter umekuwa Mungu wa kanisa la leoooo! Alisahau watsup!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Smart phone nzuri sana kupitia hizi kitu unakuwa updated mnoo, pia unaijua dunia na mambo yake vizuri kabisa, kwa kifupi hazirudishi maendeleo nyuma labda wewe mwenyewe unazitumiaje hapo ndio ishu afu sio kila muda tu kufanya kazi kuna muda una refresh Smart phone inakupa burudan hiyo kwa kuchek video kadhaa za aina yyt through you tube na vingine pia video za ujasiliamali utazipata humo yaan Smart phone inarahisisha mambo Smart phone ina save time pia badala ya mtu kwenda cafe kuandika na kutuma emails za applications e. t. c Smart phone inamaliza vyote hivyo so ni jinsi tu ya muhusika anavyoamua yeye mwenyewe awe kwenye negative side au positive side
Best umeandika positive tu, ila most of people wana fall in negative, believe me or not.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Siku hizi hata mkikutana kwenye mjumuiko wa marafiki/wanafamilia, badala ya kuongea kila mtu kang'ang'ana na simu! Maharusini usiseme...
Dah umenikumbusha o-level kiswahili,,duh
Siku hizi hata mkikutana kwenye mjumuiko wa marafiki/wanafamilia, badala ya kuongea kila mtu kang'ang'ana na simu! Maharusini usiseme...
Haka kangu nilikapata kwa elfu 30........siumizi kichwa kuhusu chaji ni wiki nzima kanatunza chaji.Ka nokia tochi wanauza sh.ngapi cku hizi mkuu?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums