Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Wadau,
Hapa niko na jamaa yangu. Mi nna smart phones mbili na yeye ana moja. Sasa kila mmoja anachat kivyake. Jana kalala ka saa nane yupo watsup. Mie hapa, napiga pote pote!
Dah! Nikipiga hesabu ya muda watu wanaotumia kwa simu tangu hizi smart phones ziingie ni very big loss. Yes, kuna wakat mtu unatumia kwa mambo ya muhimu lakin most of people hutumia kwa entertainments, ujinga ujinga, na kuchezea tu! Yaani tunakuwa ka tumerogwa.
Mtu huwez ku-concentrate ktk jambo bila kukumbuka kurudi kwa smart phone yako. Huu ni uchawi uliopitiliza na tusipokuwa makini na kuji-discipline hakika tutaishia kurudi nyuma badala ya kuendelea mbele.
NB: Watanzania tumeendelea na tunaendelea katika manunuzi ya smart phones na si sekta nyingine.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hapa niko na jamaa yangu. Mi nna smart phones mbili na yeye ana moja. Sasa kila mmoja anachat kivyake. Jana kalala ka saa nane yupo watsup. Mie hapa, napiga pote pote!
Dah! Nikipiga hesabu ya muda watu wanaotumia kwa simu tangu hizi smart phones ziingie ni very big loss. Yes, kuna wakat mtu unatumia kwa mambo ya muhimu lakin most of people hutumia kwa entertainments, ujinga ujinga, na kuchezea tu! Yaani tunakuwa ka tumerogwa.
Mtu huwez ku-concentrate ktk jambo bila kukumbuka kurudi kwa smart phone yako. Huu ni uchawi uliopitiliza na tusipokuwa makini na kuji-discipline hakika tutaishia kurudi nyuma badala ya kuendelea mbele.
NB: Watanzania tumeendelea na tunaendelea katika manunuzi ya smart phones na si sekta nyingine.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums