Aliyetayari

Aliyetayari

Mzalendoo

Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
98
Reaction score
7
Habari zenu waungwana wa jukwaa la mmu, Naamini jukwaa hili kama litaendelea kutumika vizuri litakuwa ni msaada kwa wengi, wanaume na wanawake. Kupitia hapa nimejifunza mambo mengi ambayo mengine huwezi yapata ukiwa shuleni. Kwa mara ya kwanza najitokeza kitafuta msichana ambaye yuko tayari kuwa mchumba na hatimaye mke. Sifa zake: awe mkristo, asiyetumia kilevi, mweupe, na umri miaka kati ya 22 - 26. Mie umri wangu ni miaka 29 na ni mwanafunzibwa shahada ya pili, naishi dsm. Please ni kwa walio serious tu, waweza ni pm tuwasiliane. Mambo yakienda vizuri nitatumia jukwaa hili hili kurejesha shukrani.
 
Wazalendo hawatoi sifa kama za mzabzab mara saizi, nyonyo, makalio, kiuno au wanaopendelea sketi. SIFA AZOTAKA mzabzab UTADHANI FUNDI CHEREHANI Anyway mkuu tunakuatakia kila la kheri

u got to be specific...mbona wao wanawake wanasema oh nataka chuo kikuu/ masters/ awe na hela na mambo kibao...am just being specific on the physical attributes period....hayo ya dgree mean nothing kwangu maana mie natafuta wa gud tym tuu
 
Hehehe
Umeona ee
Kaniskitisha anataka weupe tuu wakati kuna wengine wana sifa zote ila ni weusi.
Umeamua kuachia ngazi?

Sio mbaya sana lakini, wengine msijeacha vibwana vyenu bure!!

heheh kwani lini nilishikilia ngazi shosti???
 
All the best kijana. Sasa kwa wale wasio na hiyo color sijui wafanyeje, hata hivyo mjini weupe uko dukani . Napenda nikuulize huu weupe unaouhitji je uwe natural au artificial pia anakubalika mraddi kama anaweza kuumaintain.
 
lol.......afu weusi ndo wengi, tumekosa riziki.
 
Sifa zote ninazo tena na nyingine za ziada ila hapo kwenye ka umri ndio tatizo manake nipo 40+ sijui utanifikiria Lol.
 
Back
Top Bottom