Aliyetaka kumuua Ponda !

Aliyetaka kumuua Ponda !

The Fixer

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
1,365
Reaction score
596
Wana Jamvi,

Habari za jioni !

Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini

Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili

Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa

He has been warned!
 
'habari yako mbona imekaa kiuwepesi wepesi hivi haina source haina hata picha basi ya huyo askari na ndugu zake pia hakuna ndugu...'
 
Wee subiri tu wanaomjua watamfikishia na kukuonyesha picha yake kama unaitaka
 
Wana Jamvi,

Habari za jioni !

Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini

Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili

Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa

He has been warned!

Order ilitoka juu juu zaidi.
Ashukuriwe mtu (body guard??) aliyemsukuma Ponda risasi zilipopigwa. Otherwise tungeisha msahau...
 
huo ni udini na uchonganishi unaweka jina la uongo la kikristo ili utuchonganishe na wakirsto! ptuuuuuuu
 
Wana Jamvi,

Habari za jioni !

Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini

Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili

Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa

He has been warned!

acha upumbav wako mbona kifo cha padri mushi hakuongelea? Kwan ponda ni nani ndan ya nchi hii mpaka utuletee upuz kama huu? Ningekuwa mm ningemmaliza kabisa huyo ngedere wenu Ponda. Unaongea tu utamuweza huyo inspector kuku ww
 
Huo pia ni uongo umeweka kuwa huyu askari ni Mkurya. Hivi kwa akili yako ndogo unafahamu utaratibu na utendaji kazi wa police? Kweli unaamini Ispekta anaweza kutumia silaha kwa operation kama hii. Unataka kuleta uchonganishi kati ya dini na pia ukabila.Tuliza upumbavu wako.
huo ni udini na uchonganishi unaweka jina la uongo la kikristo ili utuchonganishe na wakirsto! ptuuuuuuu
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Ndugu zanguni kazi kubwa ya dini yoyote duniani ni kuhubiri amani na upendo,,
ukiona kiongozi yoyote wa dini anahubiri chuki,uchochezi,huyu anamaslahi mengine na wala
siyo wa kuunga mkono, ,,wakati mwenyezi mungu anaumba dunia ,alikuwa akitumia maneno
kwa kusema kuwepo mchana na usiku, maji ya hame pawe nchi kavu na ikawa,,,utaona maneno
yalivyo na nguvu,kiongozi wa dini anaposema tumechoka kuongozwa na makafiri,,sasa hizi kauli gani??ni nani
anaweza sema yeye ni bora mbele za mungu??kusema ati polsi wanavamia wananchi wa mtwara kwa kuwa ni waislamu,,hayo ni mawazo gani??lazima kiongozi wa dini aongee maneno ya busara kuwaunganisha watu,,sasa nashangaa baadhi ya watu kushabikia maujinga ujinga,
 
huo ni udini na uchonganishi
unaweka jina la uongo la kikristo ili utuchonganishe na wakirsto!
ptuuuuuuu

tena inampasa ajue kuwa huyo ni askari wa Ustaadh Said M.,na lilikuwa ni agizo la Al haji Jah-kaya Khalfan
 
Ndugu zanguni kazi kubwa ya dini yoyote duniani ni kuhubiri amani na upendo,,
ukiona kiongozi yoyote wa dini anahubiri chuki,uchochezi,huyu anamaslahi mengine na wala
siyo wa kuunga mkono, ,,wakati mwenyezi mungu anaumba dunia ,alikuwa akitumia maneno
kwa kusema kuwepo mchana na usiku, maji ya hame pawe nchi kavu na ikawa,,,utaona maneno
yalivyo na nguvu,kiongozi wa dini anaposema tumechoka kuongozwa na makafiri,,sasa hizi kauli gani??ni nani
anaweza sema yeye ni bora mbele za mungu??kusema ati polisi wanavamia wananchi wa mtwara kwa kuwa ni waislamu,,hayo ni mawazo gani??lazima kiongozi wa dini aongee maneno ya busara kuwaunganisha watu,,sasa nashangaa baadhi ya watu kushabikia maujinga ujinga,

Kama unadhani mawazo hayo hayafai, leta mawazo mbadala. Lililo wazi ni kwamba eneo lote la pwani ya Tanzania limedumazwa makusudi na kibaguzi.
 
Huo pia ni uongo umeweka kuwa huyu askari ni Mkurya. Hivi kwa akili yako ndogo unafahamu utaratibu na utendaji kazi wa police? Kweli unaamini Ispekta anaweza kutumia silaha kwa operation kama hii. Unataka kuleta uchonganishi kati ya dini na pia ukabila.Tuliza upumbavu wako.

Nme jarib kupitia japo kwa haraka baadhi ya maoni ya wana jukwa inanipa picha kwel kuna udini hapa nchini kwan watu wame kwenda stright na kusema kwamba ni haki shekh ponda kupigwa risasi sijui mmetumia katiba ya nchi gan ianayosema mytu akiwa mchochezi apigwe risas naomnba majib! na kusema kwamba tukio la kuawa kwa padri zanziber waislam wanahusika kitu ambacho c kwel kwam matukio kama hayo yametokea hata kwa mashehe yakiwemo kuimwagiwa tindikali.tatizo mnashindwa kuelewa kizuri sku zote kina pingwa ndo hjujawah kuskia vita zidi ya ukristo bali kumna vita juu ya uislam na kuitwa magaid ila cha kushangaza cjawah kiuskia gaid mkristo toka najua kusoma. kwa mfano mzuri kuwakumbusha kama waislam hawpendwi mnakumbuka issue ya NECTA na mtihani wa islamic knoledge walicho wafanyia waislam? au mnajifamnya kusahau? tatizo serikal haimpend shehe ponda kwan anasema ukwel na kuwaumbua na yupo tayar kufa kwa ajil ya uilam ni sawa na CCM wanavo ichukia CHADEMA.jaman c siri uislam haupendwi mfano mwingine uliomna lin sku kuu za kiislam ofice za serikali zika pambwa? hebu jiulize kuhusu krismas na mwakampya jimns fedha ya walala hoi inavotumika kwenye mapambo yasio na maana.jaman tusiwe wanafik tuwe wakwel kama CHADEMA na tusiwe kama CCM
 
huo ni udini na uchonganishi unaweka jina la uongo la kikristo ili utuchonganishe na wakirsto! ptuuuuuuu

Watz siku hizi kila kitendo mnakitazama kidini tu angalieni udini utawamaliza!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom