ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Mboga mboga,Bustani na matunda (SUA).
TUMECHOKA NA MASWALI YA KITOTO ... JAMANI .. WAKATI MNAJAZA HUKO SHULENI HAMKUPEWA UFAFANUZI...?
Kama maksi zake zinaruhusu,hata famasi anaweza kusoma.Habari wana forum, naomba kufahamu iwapo utasoma CBG baadae utasoma fani gani Chuo Kikuu.
We sio mtu mzima peke yako humu ndani naamin kwa umri wangu huu naweza kuwa kaka yako hata baba yako hivyo basi kama mkubwa wako nawe nakwambia "acha majibu ya kipuuzi"TUMECHOKA NA MASWALI YA KITOTO ... JAMANI .. WAKATI MNAJAZA HUKO SHULENI HAMKUPEWA UFAFANUZI...?
Nakushukuru sana kwa ufafanuzi, nimeitwa dogo/mtoto ila mm si mtoto nataka nimsaidie aliyeniuliza pia. Labda nimeuliza kitoto sijui. wanafunzi wanapochagua combination na shule baadhi huwa hawana taatifa za kutosha, nimeleta jukwani kwa maana ya kujifunza kutokana na uzoefu wa waliosomo hiyo combination na tayari wapo field au wale ambao wana taarifa sahihi hata km hawajaisoma. Ubarikiwe sana kwa busara zako.Sioni tatizo liko wapi hapi huyu ameuliza kwa forum kama JF anategemea atapata jibu. Na hili swali linaulizwa mara kwa mara hapa jamvini kitu ambacho kina ashiria kuna tatizo mahali. Wengi wanataka kujua kama CBG wanaweza kuchukua udakitari kwa mfano. Na majibu yamekuwa na ukinzani mkubwa hapa. Na jua kwa kilimo hio combi inafaa, kwa udakitari ni vizuri wenye experience ya mwaka jana au juzi watufahamishe. Kwa hiyo hakuna jibu straight zaidi ya experience ya waliotutangulia. Kuna mdau mmoja alisema hii combi ilianzishwa maalum kwa kilimo. Kwa wale wanaotaka kusomea science yenye somo moja au mawili ni rahisi kufigure out Chemist, Geographer na Biologist-tatizo linakuja pale unapochanganya kwa mfano unataka MD chuo kitapendelea nani PCB au CBG? Halafu uingize ushindani. Hakuna swali baya kama linaulizwa kwa nia njema. Inelekea wengi wanachagua bila kua na taarifa zinatakiwa wawe nazo.
Well answeredUnaeza kuwa,chemist,botanist,zoologist,geologist,nurse,animal scientst,dental surgery doctor,bvm,land manager and valuator,lab.technician,molecular biologist,petroleum chemist,bio&chem.teacher,biotechnologst,midwifery.etc,nadhani umenipat.