Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,028
- 1,792
Mi ningependa nijuwe ataenda wapi!
Atasema ana siri nzito za CDM!
Mi ningependa nijuwe ataenda wapi!
Amefanya maamuzi magumu anastahili pongezi,kadhalika mimi na wenzangu wagombea binafsi wa 2015 tumeona amefanya political manouver positive kwa CDM hata akikosa kura za kutosha CDM APEWE KATA MOJA YA KUKAMPENI 4CDM ILI ajifunze mapambano ya kutafuta uhuru wa kweli.
Mbona Dr Slaa alihama CCM ktk mazingira kama haya na akagombea?!
Labda kama wamemtuma.......Kwa ninavyowafahamu ma.ga.mba...ajira yake imefika mwisho pia...lazima awe terminated from employment.
apewe nafasi anaweza kutoa siri zao nyingi.
Atakwenda CCK mpaka kieleweke.
Kama ndio hivyo mshindi kaishapatika amuoni kama mnawapotezea muda wao wagombea wengine, si bora muwaeleza mapema kuwa mgombea ni flani wasiangaike na kampeni.
Atakwenda CCK mpaka kieleweke.
slaa aliombwa na wananchi yeye kaombwa nani amechanganyikiwa tu huyo
Nasikia Musani kesho anatoa tamko kwenye media kuwataja wote waliotoa rushwa na michezo mingine ya rafu na inasemekana kundi la BM lipo nyuma yake na wanachama wametunza bahasha walizopewa kwa ajili ya ushahidi. Ametumiwa meseji kutoka makao makuu ya CCM aende kwenye mkutano wa nec ili kusuluhisha suala hili.
Alipata kura ngapi kwenye kura zao za kuzidiana rushwa.