FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Dubu,
Kura 22 kati ya ngapi? Na wakwanza alipata kura ngapi?
Kura 22 kati ya ngapi? Na wakwanza alipata kura ngapi?
hala hala asituletee rushwa huku kwetu...tunaomba dr. atuondelee yoyote anayeonekana mbabaishaji kama ilivyokuwa kwa bavicha, asituletee habari za magamba huku ataumbuka mara mojainavyoonekana huyu jamaa anachotaka ni ubunge tu na si vinginevyo sidhani kama kweli kwa hiyari yake ameamua kuwa mwanacdm kuna msukumo ndani yake (ubunge) ndo maana ameamua kuwahi huko mapema na akitoswa sijui atasemaje tena,ngoja tusubiri..
Ni haki ya kila mtu jamani kuwa mwanachama wa chama chochote
Mgombea wa ubunge ccm aliyeshindwa kura za maoni Bw Anthony msami amehamia na ameomba kugombea ubunge kupitia chadema. Katibu wa chadema wa Wilaya ya Meru bw Totian Ndonde amethibitisha kuwa Msami amechukua fomu na anatarijiwa kuirudisha leo.
Bwana Msami amesema ana siri nzito ya rushwa ndani ya CCM ambapo kila mgombea alileta watu wake na kwa namna moja au nyingine wote wametoa rushwa. Anthony amekuwa akishutumiwa kuwa ni mamluki ndani ya CCM aliyetumwa na chadema kwenda kugawa kura na kufanya upelelezi amekanusha habari hiyo na kusema kuwa kimsingi watu wawili ambao watakuwa wamekiharibu chama katika kipindi hiki ni James Milya ambaye kundi la rafiki ya EL linataka SIOI apitishwe. Kundi lingine ni la BM ambalo linataka mtu wao apitishwe. Hata hivyo SIOI kama hana shida ni kajina anayeonekana ana uwezo isipokuwa anabebwa na kundi baya na chafu. Makundi yote haya mawili yamemwaga hela ya kutosha.
Msami ameulelezea kukerwa na mpango wa kuwatumia washili ambao anasema ni mambo yalipangwa kipropaganda. NI aibu kwa wazee wa CCM kukubali kubebeshwa jambo zito kama hili kuwa WAMEPANGA KUMCHINJA MBUNGE LEMA halafu inaonekana kuwa ni WASHILI wa meru.
Source: Arusha.
Wewe yanakuhusu nini? Mbona sijakusikia ukipiga kelele kulaani rushwa iliyotumika kumpitisha Sioi/Naoa kule CCM? Peleka umakalio wako kwa hao makalio wenzako mabingwa wa rushwa duniani.Kwa hiyo kumbe hamna utaratibu wa kuwaweka wogombea pamoja na kupigiwa kura na wananchama lipatikane jina moja ndio awe mgombea wa chama.
Mnachofanya ni kupokea amri kutoka Makao Makuu mpitisheni flani. huko ni kukaba demokrasia ndani ya chama.
Kwa hiyo Chadema mmeishateu jina la mgombea siku nyingi huko Arumeru?
Wewe yanakuhusu nini? Mbona sijakusikia ukipiga kelele kulaani rushwa iliyotumika kumpitisha Sioi/Naoa kule CCM? Peleka umakalio wako kwa hao makalio wenzako mabingwa wa rushwa duniani.
Mbona Dr Slaa alihama CCM ktk mazingira kama haya na akagombea?!
dubu,
kura 22 kati ya ngapi? Na wakwanza alipata kura ngapi?