Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 239
- 169
Dah sikutegemea yaani kile ninachokiona hapa Iringa university mpaka natamani kulia.
Kiukweli masomo magumu jamani bora advance yaani mfano philosophy unaisoma haieleweka dah advance ni bata kuliko university aisee.
Hujakaaa vizuri umeingia anga za Dr Nyamubi aisee utataman kuacha chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli masomo magumu jamani bora advance yaani mfano philosophy unaisoma haieleweka dah advance ni bata kuliko university aisee.
Hujakaaa vizuri umeingia anga za Dr Nyamubi aisee utataman kuacha chuo
Sent using Jamii Forums mobile app

