Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,522
- 22,015
Mazinja wameizidi dunia ya 3?Dah 'thed weld' Dwellers yani hadi 'Mazinja' yamewazidi ustaarabu.
Rangi tatu je mkuuAlmost jiji lote
Pita Mbagala kuu utafurahi 😅
Wana akili za hovyo sanaHata kkoo chinga wanatupa taka zao za lailon kwenye mtaro hiyo chemba moja tu imetoa hizo taka.View attachment 1813524View attachment 1813525
Hawana wawezalo kutenda zaidi ya kujilimbikizia maliWho cares!? Aibu yetu wote!? Wenzetu huko kwingine Mayor anajivunia usafi wa Mji wake!! Huku anagombea kushiba kwa Tumbo lake
Wachafu nguli wapo hukoRangi tatu je mkuu
Wanyonge hawana shida, wenye shida ni wasimamizi waoWaacheni wanyonge
Nchi ya wanyonge hiiWaacheni wanyonge
Ahahaha u mkazi wa Mbezi mwisho bila shaka
NaamAhahaha u mkazi wa Mbezi mwisho bila shaka
Hawezi kuubadili MFUMO uliomweka madarakaniAwamu ya 5 na vitambulisho vya ujasiria mali ndio imepelekea hali hii.
Sijui Mama anaanzia wapi kurejesha hali ya kawaida.