Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Wapendwa uchafuzi wa mazingira unakua kwa kasi sana huko Mbezi Luis, biashara holela, kuziba njia za watembea kwa miguu, kuziba mitaro ya maji taka na kujenga mabanda yasiyokidhi viwango vya ujenzi kumeichafua sana Mbezi Luis. Kuna maturubai ya machinga yaani yanatia kinyaa kabisa.
Kiongozi aliyehusika kutoa vibali ili uchafuzi huo ufanyike anapaswa kujiudhuru mara moja na afikishwe mahakamani kwa kosa la kuruhusu uharibifu wa mazingira.
Wakazi na wapitaji wa Mbezi mwisho mtaielewa vizuri hii picha hapa chini najua.
Nawasilisha
Kiongozi aliyehusika kutoa vibali ili uchafuzi huo ufanyike anapaswa kujiudhuru mara moja na afikishwe mahakamani kwa kosa la kuruhusu uharibifu wa mazingira.
Wakazi na wapitaji wa Mbezi mwisho mtaielewa vizuri hii picha hapa chini najua.
Nawasilisha