Aliyeruhusu ujenzi wa vibanda juu ya Mtaro wa Maji Mbezi Luis anapaswa kuwajibishwa

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
12,962
21,065
Wapendwa uchafuzi wa mazingira unakua kwa kasi sana huko Mbezi Luis, biashara holela, kuziba njia za watembea kwa miguu, kuziba mitaro ya maji taka na kujenga mabanda yasiyokidhi viwango vya ujenzi kumeichafua sana Mbezi Luis. Kuna maturubai ya machinga yaani yanatia kinyaa kabisa.

Kiongozi aliyehusika kutoa vibali ili uchafuzi huo ufanyike anapaswa kujiudhuru mara moja na afikishwe mahakamani kwa kosa la kuruhusu uharibifu wa mazingira.

Wakazi na wapitaji wa Mbezi mwisho mtaielewa vizuri hii picha hapa chini najua.

Nawasilisha

PHOTO_20210606_170059.jpg
Screenshot_20210605-071522.jpg
Screenshot_20210605-071502.jpg
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom