Muongozo umeeleza vingi sana, pata fursa ya kuusoma usiwe mvivu...Huu Muongozoo Wa Kujitolea Utekelezaji Wake Utakuwa Lini Unakuwa Lini au Watatoaa Tangazoo la Watu Waendee Kujitoleaa au Utapelekeka Barua za Maombi katika Sehemu Husikaa ambayo Ungependa Kujitolea hapo Inakuaje Wadau hapo msaada wakuu
Mimi sijauelewa Hapo ,,Ndoo maana nikauliza Maswali Yangu hayo kupataa Ufafanuzi katika Sehemuu hizoo nilizouliza mkuuMuongozo umeeleza vingi sana, pata fursa ya kuusoma usiwe mvivu...
Wapo watakao kuja kusoma kwa sauti, kaa kwa kusubiri boss...Mimi sijauelewa Hapo ,,Ndoo maana nikauliza Maswali Yangu hayo kupataa Ufafanuzi katika Sehemuu hizoo nilizouliza mkuu
Hizi ndo nafasi zenyewe sasa unafikiri serikali ikitaka kuajiri inaanza na wakina nani kama siyo hao wanajitolea.Serikali inakwepa kuajiri.
Nielekeze Basii kuhusiana Maswalii Yangu MkuuMuongozo umeeleza vingi sana, pata fursa ya kuusoma usiwe mvivu...
sasa kama ina mpango wa kuajiri kwanini isiajiri tuu.Hizi ndo nafasi zenyewe sasa unafikiri serikali ikitaka kuajiri inaanza na wakina nani kama siyo hao wanajitolea.