BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,693
- 17,253
Tumia lugha ya malkia!Katika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?
Kama ni Mkristo mwamkie Bwana Yesu asifiwe na kama Mwislam mwamkie Asalaam AleykumKatika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?
Hiyo morning iweke kwa Kiswahili. Kwani huyo mzee ni dereva au cleaner au tarishi?Huyu mzee wa huku kwetu Kwamtogole umwambie “morning “ si ataona unamdharau!
Katika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?
Sasa were ni bosi wake, labda kachelewa kidogo kufika ofisini sababu ya majukumu fulani ya lazima, unamfokea kama mtoto mbele ya wafanyakazi wenzake!! Hiyo shikamoo yako inasaund kweli?Katika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?
Huku kenya hakuna hizo salamuKatika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?
Alikuwa anataka nini?Hata mama mchungaji mwanzoni ilikuwa nikimpa salamu ya shkamoo anaikataa hadi nilipokuja kujua alichokuwa anakitaka, baada ya kumpa akaanza kuitikia
Sio dharau, ni utaratibu tu amejiwekea. Nani amekudanganya ukisalimiwa shikamoo ndio unaheshimiwa sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kipi hicho ulichompa??Hata mama mchungaji mwanzoni ilikuwa nikimpa salamu ya shkamoo anaikataa hadi nilipokuja kujua alichokuwa anakitaka, baada ya kumpa akaanza kuitikia
Hata mimi nikimhusudu mwanamke kijana, huwa sipendi shikamoo zake.Katika Mila na desturi za Tanzania shikamoo ni salamu unayompa mtu aliyekuzidi umri. Nimekutana na watu wazima waliokwepa salamu hii. Mfano mtu mzima uliyemuajiri, anaitikia vizuri shikamoo za wengine lakini shikamoo kutoka kwa boss inamsumbua.
Pamoja na kuwa kijana au binti unaeweza kumzaa akawa boss wako lakini haibadili ukweli kuwa uliiona dunia kabla yake na hii ni heshima unayostahili. Hizi ni Mila na desturi zetu.
Maoni yenu tafadhali mtu mzima asiyetaka salamu ya shikamoo nimpe salamu gani?