mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,023
Rejea sentensi ya nikaenda kusali msikitiniKwa namna alivyotoa maelezo obviously hata yeye yupo tayari kufa anytime.
Rejea sentensi ya nikaenda kusali msikitiniKwa namna alivyotoa maelezo obviously hata yeye yupo tayari kufa anytime.
Hilo halina ubishi. Hawa jamaa wakisema watumie resources walizonazo kumtafuta mtu wala haiwezi kuwachukua muda mkubwa wasiwe na taarifaPolice wetu wako vizuri sana Kama wakiamua kufanya kazi yao kweli na huchomoki!!
Sina utaalam wa mambo hayo mkuu, ndio maana sikufiria ilo.Sasa kuna kesi ya Mauwaji ikaendeshwa miezi 7, auwe Mwaka huu na ahukumiwe Mwaka huu!!??
Mauaji ni 2019.Hiyo post ni ya 2018, mauaji yametokea 2023. Kama huyo manzi ndiye, means walikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 5.
Sawa mkuuMauaji ni 2019.
2023 hukumu imetoka.
Vipi kuhusu polis? Case Kama Ile ya AkwilinaMoto wa mtu ni kiza kinene... Lakini kuna kuhukumiwa na nafsi na kujaribu kumkumbuka mola kwa ajili ya toba..lakini vyovyote iwavyo damu ya mtu hunuka hasa yule asiye na hatia
Sent using Jamii Forums mobile app