Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau mtakumbukwa MO Dewji mfanyabiashara mkubwa nchini alitekwa tarehe 11 Oktoba 2018 na kupatikana tarehe 20 Oktoba 2018
Baada ya kupatika Polisi walidai wamemkamta dereva taxi kuwa ndiye aliyemteka mo dewji
Kesi hiyo haijawahi kusikilizwa mahakama zaidi ya kuiahirisha tu.
Juzi Mahakama ya Kisutu imemwachia huru mtuhumiwa huyo na kuacha maswali mengi kama
1. Kwanini polisi walisema dereva taxi ndio alimteka mo?
2. Kama mtekaji sio huyo dereva taxi kwanini alishtakiwa?
3. Nani alimteka mo?
4. Au mo dewji hakutekwa?
Baada ya kupatika Polisi walidai wamemkamta dereva taxi kuwa ndiye aliyemteka mo dewji
Kesi hiyo haijawahi kusikilizwa mahakama zaidi ya kuiahirisha tu.
Juzi Mahakama ya Kisutu imemwachia huru mtuhumiwa huyo na kuacha maswali mengi kama
1. Kwanini polisi walisema dereva taxi ndio alimteka mo?
2. Kama mtekaji sio huyo dereva taxi kwanini alishtakiwa?
3. Nani alimteka mo?
4. Au mo dewji hakutekwa?