Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Status
Not open for further replies.
Vijana wengine wanalaana kwelikweli sasa mama lowasa SI mama yake WA kumzaa kweli kila sehemu Ina machizi ILA mzee atakaposhika nchi atamsamehe kuonyesha mfano kwa wasiojua kusamehe.
hii ya mke WA deo kupewa ubunge imekuwa kama ufalme WA uingereza au?

Yani kwenye ya mke wa Deo imeniacha hoi..imeanza kutrend sasa akifa huyu anachukua next of kin! Hatari sana
 
Sexual harassment.
Ingekuwa nchi za wenzetu huyu mhalifu angekuwa ananyea debe saa hizi.

Vuta hisia kitendo hichi anafanyiwa mkeo au dada yako au binti yake mbele ya watu.
 
Popoma naona umeikimbia ID yako ya dawa,jiandae tu maana hata hii utaikimbia.

Jamani Mimi Ndiyo Nimeamka Sasa Usingizini Na Siwaelewi Kabisa. Kwani Huyo Kijana Kafanya Nini? Kamtolea Wazungu KUNAKO au? Anayejua Kisanga Kamili Anisaidie Kuniambia ILI Na Mimi Nimwonee Huruma First Lady FEKI Wa Kondoa To Monduli.
 
WOTE walilewa, ndio maana akampiga na mic. Wasamehewe wote walikuwa UNDER ALCOHOL INFLUENCE

Aghhhhhhhhhh! Kumbe Alilewa Tu? Mimi Nilijua Dogo KAMALIZA SHUGHULI. Siyo Kosa Lake Bali Alipitiwa Tu Kimtindo Na Kitu Cha Ngano Ya Mchikichini.
 
huyu mmama n mtu wa ndogo ndogo jaman ukute n kibasha chake

Sasa Kama Mista Tu Kushika Maiki Ni Shida KUNJUNJA KUNAKOTUKUKA Ataweza Kweli? Jamani Na Huyu Nae Ni Binadamu Mwenye Mahitaji Kamili Ya Kibaiolijia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom