Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Status
Not open for further replies.
Mwe mbona alikua yuko katika hali ya ulevi wangemsamehe tu!
 
Vijana wengine wanalaana kwelikweli sasa mama lowasa SI mama yake WA kumzaa kweli kila sehemu Ina machizi ILA mzee atakaposhika nchi atamsamehe kuonyesha mfano kwa wasiojua kusamehe.
hii ya mke WA deo kupewa ubunge imekuwa kama ufalme WA uingereza au?
 
DSC01561.jpg
huyu mmama n mtu wa ndogo ndogo jaman ukute n kibasha chake
 
huyo kijana hana aibu,,anapapasa kalio la firstlady....!!
 
Ni kukosa adabu, tusishabikie tunaharibu ustaarabu wa watanzania hili tulikemee kwa pamoja tusiingize siasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom