Huyo kijana hana heshima wala adabu. Nashangaa vijana waliokuwepo hawakumshughulikia kwa kumpa ngeu juu ya turu. Huyo ni sawa na mama yake. Huyo mama ana wajukuu.. Senzi zake
Popoma naona umeikimbia ID yako ya dawa,jiandae tu maana hata hii utaikimbia.
Ndo amshike kalio kijana ana tabia chafu sana na hana malezi mazuri. Huo ni uzalilishaji
Ila huyu dogo alivuka mipaka aisee
Hilo tu?!
Jaman huyo kijana ni kama alikuwa anamstua mama Lowasa aache kusema kanywa bia
kwenye mikutano; wakati msaga sumu anatumbuiza ;
dada zetu wangapi wanashikwa ;
haki kwa wote