Waziri2025
Senior Member
- Sep 2, 2019
- 148
- 379
Aliyekuwa Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha ,(RTO),Joseph Bukombe ambaye hivi karibuni alitimuliwa kwa utovu wa nidhamu ,vitendo vya rushwa na kudharau maagizo ya Mkuu wake wa Kazi,hivi sasa Analia njaa ofisini kwa RPC Arusha alikopangiwa kuwa Mbeba Mafaili mbalimbali.
Taarifa kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara wenye Magari wamedai kupatwa na usumbufu wa kila mara kupigiwa Simu na bw, Bukombe akibomu fedha baada ya mrija wake kukaushwa ghafla na Waziri mwenye dhamana ,Mh Kangi Lugola.
Tangu ametumbuliwa na kuhamishiwa ofisi ya RPC Arusha amekuwa akilalama na kutuhumu watu mbalimbali kuwa ndio chanzo cha yeye kutumbuliwa na amekuwa akisikika akidai....' yote ni maisha tu'
Hata hivyo baadhi ya askari wa Usalama barabarani jijini Arusha wamefurahishwa mno na hatua ya kutumbuliwa wakidai kuwa alitumia cheo chake kujinufaisha na kuwagawa askari makundi mawili jambo ambalo ni kinyume na utaratibu.
Wamempongeza RTO wa sasa kuwa ni mchapakazi asiye na makundi na anasimama kwenye majukumu yake na kumtaka RPC amhamishe haraka Mkoani hapo asije akamtengenezea ajali RTO Mpya.
Taarifa kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara wenye Magari wamedai kupatwa na usumbufu wa kila mara kupigiwa Simu na bw, Bukombe akibomu fedha baada ya mrija wake kukaushwa ghafla na Waziri mwenye dhamana ,Mh Kangi Lugola.
Tangu ametumbuliwa na kuhamishiwa ofisi ya RPC Arusha amekuwa akilalama na kutuhumu watu mbalimbali kuwa ndio chanzo cha yeye kutumbuliwa na amekuwa akisikika akidai....' yote ni maisha tu'
Hata hivyo baadhi ya askari wa Usalama barabarani jijini Arusha wamefurahishwa mno na hatua ya kutumbuliwa wakidai kuwa alitumia cheo chake kujinufaisha na kuwagawa askari makundi mawili jambo ambalo ni kinyume na utaratibu.
Wamempongeza RTO wa sasa kuwa ni mchapakazi asiye na makundi na anasimama kwenye majukumu yake na kumtaka RPC amhamishe haraka Mkoani hapo asije akamtengenezea ajali RTO Mpya.