lile tumbotumbo mwenzake Mgana Msindai halijasema linarudi lini? huyu si alitangaza kuacha siasa huyu?
Kadri mlivyo kenua akimfuata Lowassa huko chadema, ni wakati sasa wa kununa. Na hayo ndo yatakuwa maisha yenu.
Lazima amfuate bila hivyo ataishije Jamani ?
Atakua yule mbunge wa Sikonge kama sikosei Mhr. Kikumbi sijuiMwenye kumbukumbu wakati Mwenyekiti wa CCM (wasasa) anakabidhiwa na Mwenyekiti aliyemtangulia kuna mwanachama mmoja maarufu alirudi CCM, baada ya kupokelewa Mwenyekiti wasasa alimkaribisha kwa kumwambia "kwa Wasukuma Ng'ombe aliyewatoroka wenzake siku akirudi kundini wanamkata mkia!!!" Hivi alikuwa ni nani???
Taifa kuwa na wazee wajingawajinga km hawa ni hatarii sana.
Unataka abaki na nani huko Chadema? Huyo mtu hata maisha yake ya kila siku anamtegemea Lowassa yaani mtu kama huyo ni baba yako bora usiwe na baba ni aibu tupu.