mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,874
- 106,132
Wazee wa rubyMkuu mrangi,huyu jamaa alikuwa anauza ruby au dhahabu?
Ova
Wazee wa rubyMkuu mrangi,huyu jamaa alikuwa anauza ruby au dhahabu?
Adhabu hii ya kunyonga hadi kufa ni kiashiria kingine cha kupuuza utu wa mtu wala si kwamba inawafanya wahukumiwa kujutia makosa yao au waliobaki kuogopa kutenda makosa kama hayo.... Na ndiyo maana bado tunaendelea kusikia visa vya mtu kutekeleza mauaji ya watu kadhaa kwa sababu za kipumbavu kabisa kisha naye kujiua. Yaani ni kama inaonekana muuaji anaogopa yale maumivu ya kimwili na kisaikolojia atakayoyapata wakati wa kuendesha kesi na wakati wa kusubiria utekelezaji wa hukumu kuliko hukumu yenyewe, Pengine ndiyo maana haoni taabu kujiua mara tu! baada ya kuwa amekamilisha uharifu wake wa Mauaji.ninatanguliza pole zangu kwa ndugu na familia za wafanya biashara hao waliopoteza maisha yao kinyama mno ,familia hizi zinaishi bila wapendwa wao na bread winners wao its tough life;ILA kwa upande wa pili wa adhabu hii ya KIFO,hivi ikitekelezwa itaifanya familia za waliouawa kuwa happy?,je utarudisha uhai wa ndugu zao?,je na familia za waliohukumiwa kifo zitakuwa ni familia bora zaidi?je kunyongwa hadi kufa kwa mtuhumiwa kutaleta better closure kwa wanandugu waliopoteza ndugu zao?,binafsi ninachukia adhabu hii ya kifo,ni adhabu inayoonyesha kuwa bado tunaishi maisha very primitive,na adhabu hii sio kuwa unafanya watu waogope kutenda kosa la kuuwa eti na wao watauliwa.ni wakati sasa Tanzania ifute hii adhabu ya kifo maana haina faida yeyote kwa jamii.
Kuna kitu nakiona kwenye hoja yako.Adhabu hii ya kunyonga hadi kufa ni kiashiria kingine cha kupuuza utu wa mtu wala si kwamba inawafanya wahukumiwa kujutia makosa yao au waliobaki kuogopa kutenda makosa kama hayo.... Na ndiyo maana bado tunaendelea kusikia visa vya mtu kutekeleza mauaji ya watu kadhaa kwa sababu za kipumbavu kabisa kisha naye kujiua. Yaani ni kama inaonekana muuaji anaogopa yale maumivu ya kimwili na kisaikolojia atakayoyapata wakati wa kuendesha kesi na wakati wa kusubiria utekelezaji wa hukumu kuliko hukumu yenyewe, Pengine ndiyo maana haoni taabu kujiua mara tu! baada ya kuwa amekamilisha uharifu wake wa Mauaji.
Itoshe tu kusema kuwa Adhabu ya kunyongwa hadi kufa haitoi nafasi ya muhusika kujirekebisha wala muathirika kufurahia haki aliyopatiwa na mahakama iliyotoa adhabu hiyo bali ni MAUJI KAMA MAUAJI MENGINE. #NIMEWAZA KWA SAUTI
Hakuna haki huko mkuu! Kulipa kisasi kwa mikono yako ni faraja kubwa sana! Huwezi kupata faraja kwenye hizi mahakama zetuIna maana hamziamini Mahakama za nchi yenu (mhimili unaojitegemea) mpaka mfikirie njia mbadala?
Ila kwa sasa hivi zinamtokea puani, sidhani kama anasikia utamu wa hela tena.Kweli mnyonge hana haki. Nakumbuka namna wafanyabiashara wale walivyouwa na polisi huku madini yakichukuliwa. Yeye kufa anaona si haki yake
Labda ni picha ya zamani, kama ni picha ya karibuni basi atakuwa anakula bata kweliAlafu Huyu Jamaa Mbona Kama Anakula Bata Tu!
Nooooooooo, apewe achostahiliHata wakimuachia nadhani amejifunza
nimezipenda comments zako,name nimo kwenye mawazo haya kuwa death sentence haileti unafuu wowote kwa jamii,ILA huu ni mjadala ni vema tukaujadili kwa facts,dharau na lugha za kukashifiana sio utamaduni wetu wa kujadili mada,kutofautiana ndio chachu ya mjadala.bravooo mkuuAdhabu hii ya kunyonga hadi kufa ni kiashiria kingine cha kupuuza utu wa mtu wala si kwamba inawafanya wahukumiwa kujutia makosa yao au waliobaki kuogopa kutenda makosa kama hayo.... Na ndiyo maana bado tunaendelea kusikia visa vya mtu kutekeleza mauaji ya watu kadhaa kwa sababu za kipumbavu kabisa kisha naye kujiua. Yaani ni kama inaonekana muuaji anaogopa yale maumivu ya kimwili na kisaikolojia atakayoyapata wakati wa kuendesha kesi na wakati wa kusubiria utekelezaji wa hukumu kuliko hukumu yenyewe, Pengine ndiyo maana haoni taabu kujiua mara tu! baada ya kuwa amekamilisha uharifu wake wa Mauaji.
Itoshe tu kusema kuwa Adhabu ya kunyongwa hadi kufa haitoi nafasi ya muhusika kujirekebisha wala muathirika kufurahia haki aliyopatiwa na mahakama iliyotoa adhabu hiyo bali ni MAUJI KAMA MAUAJI MENGINE. #NIMEWAZA KWA SAUTI
yes kuwepo itakuwepo as far as status ago tuliyokuwa nayo inaendelea kutawala,adhabu ya kifo imo kikatiba na to get away with it ni lazima katiba ifanyiwe marekebisho;ILA haileti manufaa yeyote yale kwa jamii yetu,now days watu wanaua wenzao kisa wivu wa mapenzi(anaamua kuua familia nzima),Albinos wanazidi kuuliwa na watu wanajua kuwa kuna death sentence!!,kwangu mimim badilisha hii na long term jail sentence(mhukumiwa atakaa jela kwa muda mrefu na kujutia alichokifanya na uhuru wake utakuwa umechukuliwa,just imaging 30yrs in jail without parole)lazima iwepo ili "iwe funzo kwa wengine"
Hicho cheo hakipo. Fuatilia (google) upate uhakikaUmeacha SIP
Zombe alipaswa kunyongwa wa kwanza maana yeye ndo mtoa amri. Askari aliyefyatua risasi walimkolimba mapemaaaa.Mpaka leo hajanyongwa tu?
Nadhani ni udhaifu wa rais ndio chanzo kwa huyu muuaji anaendelea kutusumbua.
Asante kakaHicho cheo hakipo. Fuatilia (google) upate uhakika
Kama mtu kamiminia Risasi watu watano au katoa hiyo amri watu wauliwee na ikathibitika bhasi huyo hatakiwi Kujifunza kitu zaidi zaidi anyongwee ili wanaobaki wajifunze kuwa Cheo ni dhamana hivyo wasikitumie kunyanyasa na Kuumiza wenginee...!! Kibadeni anastahili Kunyongwaaa...Adhabu hii ya kunyonga hadi kufa ni kiashiria kingine cha kupuuza utu wa mtu wala si kwamba inawafanya wahukumiwa kujutia makosa yao au waliobaki kuogopa kutenda makosa kama hayo.... Na ndiyo maana bado tunaendelea kusikia visa vya mtu kutekeleza mauaji ya watu kadhaa kwa sababu za kipumbavu kabisa kisha naye kujiua. Yaani ni kama inaonekana muuaji anaogopa yale maumivu ya kimwili na kisaikolojia atakayoyapata wakati wa kuendesha kesi na wakati wa kusubiria utekelezaji wa hukumu kuliko hukumu yenyewe, Pengine ndiyo maana haoni taabu kujiua mara tu! baada ya kuwa amekamilisha uharifu wake wa Mauaji.
Itoshe tu kusema kuwa Adhabu ya kunyongwa hadi kufa haitoi nafasi ya muhusika kujirekebisha wala muathirika kufurahia haki aliyopatiwa na mahakama iliyotoa adhabu hiyo bali ni MAUJI KAMA MAUAJI MENGINE. #NIMEWAZA KWA SAUTI
nimekuelewa mkuu wote sisi ni binadamu ila kutekelezwa kwa adhabu hii hakutarudisha mpendwa wako uhai wake,na sidhani utapata any closure,na haisaidii chochote maana mauaji bado ni mengi mno na ndio yanazidi.
upo sawa ila mimi honestly hata kama ndugu yangu anauliwa ,nitachukia kama binadamu yeyote ,nitahuzunika kwa kuuliwa mpendwa wangu,but kunyongwa hadi kufa kwa mhukumiwa hakutaleta unafuu kwangu au kufunga kesi na kuendelea na maisha,kifungo cha muda mrefu bila parole kitanipa closure maana nitajua kuwa mhusika ameondolewa uhuruwa kuishi kama binadamu,atakuwa jela for long time,hatakuwa na uwezo wa kuwadhuru wengine na hali ya kujumuika na familia yake,kisaikolojia ataathirika zaidi kuliko angenyongwa(ndio maana inatokea watu wengine baada ya kuua anaamua kujiua maana anajua mateso yatakayompata),nimetembelea Botswana wao wana death penalty na SA wao hawana hii adhabu ya kifo,lakini bado wanauana kwa rate ile ile kati ya nchi hizi mbili,watu hawaogopi kuua kwa sababu ya death penalty.Ninakuelewa,lakini, ninachelea kuwa nikiendelea kukujibu nitabaki ninarudia kilekile,yani mpaka yakufike ndiyo utatoa maoni sahihi zaidi. Unaona kile wanachofanyiana Wayahudi na Wapalestina? Wengi tunawaona wa ajabu na hatuwezi kufanya vile, lakini, siku ukayaishi yale maisha ndiyo utaweza kutoa ushuhuda wa nini kinaendelea kwenye vichwa na mioyo yao. Swala kama wanakosea au wapo sahihi ni suala la mjadala.
Nimetamani kukutakana am sorry to say that...Naomba ni-declare interest kwamba niliwahi kufanya kazi Jeshi la Polisi tena Kikosi hicho hicho cha kupambana na majambazi na mpaka naacha kazi nilikuwa hapo hapo Oysterbay,na askari wote waliokumbwa na kesi ninawafahamu maana nilifanya nao kazi,hukumu ya Jaji Kipenka ya kuwaachia huru watuhumiwa wote ilikuwa sahihi maana askari aliyewafyatulia wale marehemu hakuwahi kukamatwa mpaka leo!! wengine wote walirudisha silaha zao Armory zikiwa na risasi kamili kama walivyochukua isipokuwa huyo mmoja,ndio maana Jaji Kipenka wakati anawaachia huru watuhumiwa alisema kabisa "MLETENI MTUHUMIWA ALIYEUA MAANA YEYE NDIE ALIRUDISHA SILAHA IKIWA HAINA RISASI"kwa hiyo naamini hili Jopo la Majaji wa Mahakamani ya Rufaa nitamuachia huru Christopher Bageni maana hakufyatua risasi hata moja kuua marehemu
Kurudisha bunduki zikiwa na risasi zote sio proof kwamba hawajaua, kidogo proof inaweza kupatikana kwa kuchunguza mitutu ya bunduki zao siku ya tukio kuangalia kama kweli hazikupitisha risasi (harufu ya baruti n.k).Nimetamani kukutakana am sorry to say that...
Hivi umemaanisha kabisa kwamba kwa kuwa hawakufyatua risasi basi hiyo inatosha kuwafanya kuwa wao hawakushiriki mauaji Yale?
Hivi kwamfano umeibiwa pesa na mwizi aliyekuibia akakamatwa na mahakamani ikawa proved without reasonable doubt kwamba huyo jamaa ni mwizi, mahakama ikaamua kumfunga miaka say 5, hivi ile pesa yako itakua imerudi kwa huyo mwizi kufungwa? Au na wewe utapata the real happiness kwa mwizi kufungwa? Nauliza tu.ninatanguliza pole zangu kwa ndugu na familia za wafanya biashara hao waliopoteza maisha yao kinyama mno ,familia hizi zinaishi bila wapendwa wao na bread winners wao its tough life;ILA kwa upande wa pili wa adhabu hii ya KIFO,hivi ikitekelezwa itaifanya familia za waliouawa kuwa happy?,je utarudisha uhai wa ndugu zao?,je na familia za waliohukumiwa kifo zitakuwa ni familia bora zaidi?je kunyongwa hadi kufa kwa mtuhumiwa kutaleta better closure kwa wanandugu waliopoteza ndugu zao?,binafsi ninachukia adhabu hii ya kifo,ni adhabu inayoonyesha kuwa bado tunaishi maisha very primitive,na adhabu hii sio kuwa unafanya watu waogope kutenda kosa la kuuwa eti na wao watauliwa.ni wakati sasa Tanzania ifute hii adhabu ya kifo maana haina faida yeyote kwa jamii.