Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"
Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Mrakibu wa Polisi (SP), Christopher Bageni, aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuwaua wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge mkoani Morogoro, amepinga adhabu hiyo katika Mahakama Rufaa jijini Dar es Salaam.
SP Bageni amewasilisha maombi ya...
Yule kamanda wa Polisi aliyeshitakiwa katika kesi ya kuwauwa wachimba madini ya rubi wa Morogoro akiitwa Abdalla Zombe yuko wapi baada ya kushinda kesi ?
Aliisha lipwa mamillioni yake? Nakumbuka aliwahi sema CHADEMA ikichukua madaraka atajinyonga, pia aliwahi kudai eti wakati yeye ni Polisi RCO...
Huyu aliwahi kuwa ofisa wa Polisi wa ngazi ya juu , kwanza alikuwa MKUU WA UPELELEZI WA KANDA MAALUM na Baadaye akapanda hadi kuwa RPC , ni askari aliyekisaidia " chama chake " kama hawa wengine wanavyokisaidia.
Lakini hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Zombe alikuja kunasa kwenye tundu...
Mahakama ya Rufaa imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kunyongwa hadi kufa katika kesi ya vifo vya wafanyabiashara wa madini iliyokuwa ikimkabili yeye pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam (RCO) Kamishna Msaidizi wa Polisi Abdallah...
Mwendesha mashataka wa Serikali(DPP) amemuondolea kosa la mauaji aliyekuwa mkuu wa upelelezi MKoa wa Dar, Abdala Zombe.
Amebakiwa na shtaka la kuficha wahalifu.
======================
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemuondolea kosa la mauaji aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa Mkoa wa Dar es...
Naomba ufafanuzi wa hii skendo kwa wale waijuao. Je hii ni dalili ya nguvu mpya dhidi ya ujambazi au over confidence ya ma afande imezua soo!??
-------------------------------------------------------
Afande Zombe aunganishwa kwenye tela
Hatimaye aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Dar, Abdallah...
Former Director of Public Prosecution Geoffrey Shaidi violated the law governing prisons by allowing an accused person in remand prison to send him letters implicating another remandee in the case through an unofficial channel, the High Court heard yesterday.
The charges were made by former...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.