Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwa mujibu wa WANA CCM
Kutomkubali jpm ni dhambi?
Kutomkubali jpm ni dhambi?
Sawa MaalimNaendelea kutafakari tu...Maana "pindipo inapokufikia hoja chunguza Kwanza usije ukadhuru wasiokuwa na hatia".....
Sasa wewe mbona unaleta ukali hapa jukwaani? Unadhani nani anaogopa huo ukali wako? Ebu kuwa mstaarabu basiUngeuliza kwanini nimesema hivyo Wewe Boya sawa? Tunaomjua huyo vyema alikuwa ni Team Lowassa na hakutaka hata CCM imteue huyu JPM.
Dah ufipa mna umbea sana
Ha ha ha ha Arusha Ina Mambo mengi....Sawa Maalim
Ha ha ha mmakonde bwana we kula pungo tuuuu,sikiliza mwambie baba paroko lema ajiandae kushindwa na yeyote atakayepitishwa SAFARI HII....Gambo ndiyo anaugulia makali ya sindano na wakati huo ushindi ukiwa mikononi mwa mh LemaView attachment 1493099
Fanyia kazi ushauri wangu best utakusaidiaMnashabikia vitu visivyowahusu
Alinizidisha nyodo...Hivi Arusha mjini kuna wazaramo ? hakuna mji wenye majungu na fitna kama Arusha
HAYO majungu plus..Alinizidisha nyodo...
Nyodo mpaka kwa Wananchi.....
Kwanini asimwige makonda licha ya mapungufu aliyonayo lkn ukimfata anaweza kukusikiliza, gambo hiyo hana
Ova
Unamaanisha wazaramo ndio noma Kwa fitna na majungu!!! Fitna na majungu Ni hulka ya mtu haijalish rangi ,kabila, jinsia au maumbile.Hivi Arusha mjini kuna wazaramo ? hakuna mji wenye majungu na fitna kama Arusha
Kama sijakosea chanzo chake Ni gazet ambalo alilitaja mwanzo inawezekana kwenye chanzo hakujawekwa majina.Sijapenda mtoa mada hata hujui uko jukwaa gani humu hakuna kuficha ficha watuhumiwa ! umeniboa sana kuna sehemu nyingi unaandika na kuficha ficha majina na wahusika si bora ungeenda kuitisha kikao cha familia uwaeleze majungu yako kwa Gambo? acheni wivu enyi wabongo wenzangu!! hivi Arusha mmekuwaje mmeharibu mji wa wajanja!
CCM ndiye baba wa fitna na majungu.Hivi Arusha mjini kuna wazaramo ? hakuna mji wenye majungu na fitna kama Arusha
Hakuwahi kukupasua?Nilikuwa nampenda love him so much kimahaba
KATUMBULIWA hisia zimenipote nlikuwa sijajijua kuwa nilichokipenda ni cheo chake na sio yeye thanks GOD nikae kwa kutulia sasa
Kwa hiyo TAKUKURU nao wanautaka ubunge wa Arusha?Gambo au Lema hawa ndiyo watakua na ushindani mkubwa kwenye ubunge wa Arusha mjini.
Lema anamuhofia Gambo na Gambo anamuhofia Lema. Na wanao taka kugombea kupitia ccm wanamuhofia Gambo. Kwa hiyo Gambo anapata mizengwe kutoka kwa wanaotaka kugombea kupitia ccm na kutoka kwa Lema. Sasa hivi tutaona machafu mengi ya Gambo
Hivi Kuna majungu km Yale waliopigwa kina lijuakali pale Dodoma?CCM ndiye baba wa fitna na majungu.