GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa NEC apitishwa na CCM kugombea Ubunge

GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa NEC apitishwa na CCM kugombea Ubunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) Taifa imempitisha aliyekua Mkurugenzi wa Tume huru ya Uchaguzi Tanzania (NEC), Dkt. Wilson Mahera Charles kiwa Mgombea ubunge katika Jimbo la Butiama.

Soma pia GE2025 - Aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Dr. Wilson Mahera Charles anagombea Ubunge wa CCM

Dkt Wilson Mahera Charles aliteuliwa October 1, 2019 na Hayati Rais John Pombe Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Tume huru ya Uchaguzi (NEC) na baadaye Februari 26, 2023 aliteuliwa na Rais Samia kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).


Video Dkt. Mahera akiwa Mkurugenzi wa NEC
 
hivi INEC zamani ndiyo ilikuwa NEC

Ova
 
Naona kapewa Asante yake mapema MNO n majizi wenzie.
Kazi ni kipimo cha utu
 
...kiwa Mgombea
Mwachieni Mwalimu wa Hesabu wa Vyuo vya Tanzania na Ulaya...kufundishia hesabu za namna ile siyo masihara. Muacheni akapumuzike ili apate Wasaa wa kuboresha mwongozo wa dira ya Taifa akiwa huko mjengoni.
 
Back
Top Bottom