nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
mbona Sumaye Fredrick analojibu la porojo zako. Alisema ukitaka mambo yako(binafsi) yakunyokee jiunge na Magamba.Kuwa mpinzani ni kujitoa muhanga ! Sijambo jepesi.Ugali wa siku moja ukikutoa akili basi jua ccm ni nyumbani kwako. Ukiwa mtu makini utaelewa.Upinzani wa harakati unagharama sana. Kupoteza ajira, biashara n.k.Kama huna dhamira ya kweli utajisalimisha tu.Watu duni kifikra daima wanaipenda ccm.Mkuu endelea kufikiri outside the box.Kama nilivyosema you aint seen nuthin yet!Alivyokuwa CDM hakubwabwaja alikota tu ndio anabwabwaja, maneno ya mzama maji.Na huko CDM mtajikuta wengi tu wanaondoka wakabwabwaje huko kwa "magamba" wakati vichwa vyenu vimo ndani ya mchanga.