melimeli maganga pau
Senior Member
- Jun 23, 2012
- 148
- 32
Aliyerudi CCM ni ndugu Nuru Maeda ambaye alikuwa mwenyekiti wa tawi la Magadirisho kwa tiketi ya CHADEMA hakuwa mwenyekiti wa CHADEMA kata. Aliye kaimu uwenyekiti kata chadema ni Ndugu Paul Stanslaus.
Karibuni sana kwenye mkutano wetu siku ya tarehe 11-8-2012 siku ya Jumamosi kuanzia saa saba kamili maeneo ni kiwanja cha Sokono Magadirisho.
Karibuni sana kwenye mkutano wetu siku ya tarehe 11-8-2012 siku ya Jumamosi kuanzia saa saba kamili maeneo ni kiwanja cha Sokono Magadirisho.