Askari wa madawati ya jinsia wanatelekeza ofisi kwa kisingizo cha kwenda kuelimisha nje

Askari wa madawati ya jinsia wanatelekeza ofisi kwa kisingizo cha kwenda kuelimisha nje

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,730
Reaction score
2,335
Askari wa madawati ya jinsia wanatelekeza ofisi kwa kisingizo cha kwenda kuelimisha nje ya ofisi kitu ambacho siyo kweli.

Wanaondoka ofisini kwenda kwenye shughuli zao na simu hawapokei kabisaa wala sms hawajibu.

Pia wamekuwa na tabia ya kuangalia upande wenye pesa na krsi zenye maslahi kwao ndiyo wanazifanyia kazi.

Hili likemewe na hasa dawati la jinsia mkoa wa Rukwa na Katavi hawafungui taarifa za matukio na kutoa rb bali humaliza juu kwa juu hili liangaliwe na ikiwezekana askari hawa wabadilishwe na kupewa majumu mengine.

Pia wamekuwa na tabia ya kuangal
 
Askari wa madawati ya jinsia wanatelekeza ofisi kwa kisingizo cha kwenda kuelimisha nje ya ofisi kitu ambacho siyo kweli.

Wanaondoka ofisini kwenda kwenye shughuli zao na simu hawapokei kabisaa wala sms hawajibu.

Pia wamekuwa na tabia ya kuangalia upande wenye pesa na krsi zenye maslahi kwao ndiyo wanazifanyia kazi.

Hili likemewe na hasa dawati la jinsia mkoa wa Rukwa na Katavi hawafungui taarifa za matukio na kutoa rb bali humaliza juu kwa juu hili liangaliwe na ikiwezekana askari hawa wabadilishwe na kupewa majumu mengine.

Pia wamekuwa na tabia ya kuangal
Duuh
 
Badala ya kukimbilia huku JF ungeanzia kwa mkuu wao wa kazi kwanza kutoa malalamiko yako
 
Na kuna watu huku kila siku wanaomba hizo nafasi na hawazipati kumbe kuna watu wanazichezea mdako huko!
 
Badala ya kukimbilia huku JF ungeanzia kwa mkuu wao wa kazi kwanza kutoa malalamiko yako
Yaani polisi ukamshitaki kwa polisi,siku likikukuta jambo lao ndiyo utajua upuuzi wao ukoje,ni bora dawati hili lihamie ustawi wa jamii kwa polisi ni rushwa na upumbavu tu
 
Yaani polisi ukamshitaki kwa polisi,siku likikukuta jambo lao ndiyo utajua upuuzi wao ukoje,ni bora dawati hili lihamie ustawi wa jamii kwa polisi ni rushwa na upumbavu tu
Hao wakubwa wanaogopa kuharibikiwa sabab unakuta hajui we ni Nan au unafahamiana na nani, atakusikiliza atakusaidia. Usishindwe kabla hujajaribu
 
Back
Top Bottom