Aliyeipaisha Tanga ajitokeze leo

Aliyeipaisha Tanga ajitokeze leo

kwa kweli unyamwezini ni balaaa

haki ya nani,hadi leo hua siisahau show ya mnyamwez wa tabora

NILIJIKUTA NIMEKUA BUBU GHAFLA NDANI YA MASAA KADHAAA baada ya mechi,nikiulizwa viswali,hata majibu nilikua sina,sijui nilikua sayari gan ile

ntarudi tena tabora kuwasalimia watoto wa kinyamwezi
 
Basi njoo mzingani, Sahare, donge makorora, kwaminchi, chumbageni, barabara ya Kwanza, mpka barabara ya ishirini, raskazone, nguvumali, kisosora, tuone Kama utapata Kama hao ulokutana nao
Samahani we waitwa nani vile isije ikawa tayari tushakutana tanga beach resort, mkonge au nyumbani. Au ni PM unipe maramani yote yanayofaa.
 
kwa kweli unyamwezini ni balaaa

haki ya nani,hadi leo hua siisahau show ya mnyamwez wa tabora

NILIJIKUTA NIMEKUA BUBU GHAFLA NDANI YA MASAA KADHAAA baada ya mechi,nikiulizwa viswali,hata majibu nilikua sina,sijui nilikua sayari gan ile

ntarudi tena tabora kuwasalimia watoto wa kinyamwezi
Bora umesema wew.
 
Samahani we waitwa nani vile isije ikawa tayari tushakutana tanga beach resort, mkonge au nyumbani. Au ni PM unipe maramani yote yanayofaa.
Nambie wewe waitwa nani Kwanza na sehem unayokaa
 
Basi njoo mzingani, Sahare, donge makorora, kwaminchi, chumbageni, barabara ya Kwanza, mpka barabara ya ishirini, raskazone, nguvumali, kisosora, tuone Kama utapata Kama hao ulokutana nao
Umesahau kwa minji na majani mapana, lakini si nasikia Kange ndio mjini siku hizi?
 
Siku hizi haya mambo hayaangalii sehemu wala kabila, kwa namna watanzania tulivyochangamana watu wengi wameachana na mila zao na mafunzo yao ya kimila, kwa hiyo unaweza ukawa sawa kuwa hujampata aliyeweza kupeperusha bendera vzr
 
Basi njoo mzingani, Sahare, donge makorora, kwaminchi, chumbageni, barabara ya Kwanza, mpka barabara ya ishirini, raskazone, nguvumali, kisosora, tuone Kama utapata Kama hao ulokutana nao
Usimpe faida kichaa huyo,anadhani huu mkoa unashushwa kwa vitopic uchwara kama hivi?waliofika kweli Tanga wanajua ukweli ulivyo,hebu kwanza asinipotezee muda wife ananisubir anikande mgongo kwa maandalizi ya mechi hapo baadae nikishashiba chapat ya nazi.
 
mkuu hata mimi nakuunga mkono 100% hakuna mtanga anaingia kwa mnyamwezi wa tabora hata robo
 
Tanga kunani palee.....ee,wachuchu wa Tanga jitokezeni mrudishe heshima yenu.
 
Basi njoo mzingani, Sahare, donge makorora, kwaminchi, chumbageni, barabara ya Kwanza, mpka barabara ya ishirini, raskazone, nguvumali, kisosora, tuone Kama utapata Kama hao ulokutana nao
.......Mi nina mwaka na nusu na kote huko nimevuruga hakuna kitu, nilikaa saana Sahare na sahivi nipo katikati ya Jiji. Tanga labda ilikuwa enzi hizo!
 
Back
Top Bottom