Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Nakubishia kwa maana wewe umekuja tu na k uondoka tena ukiwa na mahitaj yako hujaish tangaHapana mkuu..huo ndo ukweli.
Nakubishia kwa maana wewe umekuja tu na k uondoka tena ukiwa na mahitaj yako hujaish tangaHapana mkuu..huo ndo ukweli.
Wanyamwez oyeeee! Wadau wengine wameona.Duu Mkuu amenikumbusha mnyamwezi!!!nilianguka kwa mnyamwezi wa Nzega shombe wa kiarabu ohooooo najuta kumuumiza ktk mahusiano.Jamani kale katoto ni kafundi aisee.Sitakasahau abadani
Hapana mkuu..huo ndo ukweli.
Umejipanga vipi na uchawi kurogwa kuzama kwenye penzi la mtoto wa kibondei, wakizigua au wa kidigo??Yaah, bado nipo mkuu.
Dawa yako inachemka.umeingia choo cha kike mkuu, machoni wapo kama watu..Kwa sasa bado mapema sana utarudi na mrejesho hapahapa.Tena wengine huwa nawakumbusha kabisa waniroge lakini wapi. Naona wataalam tanga hawapo siku hizi.

Basi njoo mzingani, Sahare, donge makorora, kwaminchi, chumbageni, barabara ya Kwanza, mpka barabara ya ishirini, raskazone, nguvumali, kisosora, tuone Kama utapata Kama hao ulokutana naoMikanjuni, mabanda ya papa, mpaka mwahako kote nmepita