Aliyeimba "wanaume tumeumbwa maaatesooo" aliwaza sana

lamekiAgustino

JF-Expert Member
Feb 4, 2024
340
1,018
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.

Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
 
Nakula hii kitu hapa
JamiiForums1312488695.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.

Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom