Aliyefukuzwa TRC kubadilishiwa Mashtaka?

Aliyefukuzwa TRC kubadilishiwa Mashtaka?

Nilijua kifuatacho ni kufunguliwa kesi na tayari yuko central usiku wa leo
Mchumia janga hula na wa kwao mateso yote yamebaki kwa familia yake wanateska na yeye atateseka mpaka basi si ajabu watampiga sana huko mahabusu waliosema mwenye nguvu mpishe waliona mbali
 
Uyo jamaa amejitakia mwenyewe yaliyomkuta hakutumia busara kabisa maana yeye ni mtumishi wa Serikali sasa inakuaje anaanza kuikosoa tena ngoja apate adabu iwe fundisho
Acha woga wakizamani.kila mtu angekua na akili za kikondoo kama zako unadhani dunia ingekuaje.Kama kaongea jambo la msingi na ukweli ata kama atachukuliwa hatua dhalimu na watawala haiondoi maana kua katimiza wajibu wake.misuko suko ipo popote pale ikija inakuja tu.
 
Nchi yetu Ili mambo yaende ni kuwa mnaa Tu ukijifanya activist unatetea wengine utajijua na mkeo na wanao watakapoanza kukusumbua. Mf. Mzuri Mimi mikelele ya harakati ni humu JF kitaa nipo kama nimekunywa maji ya bendera alafu Kuna kamanda wa CHADEMA aje kunishawishi Amadala ajilipue thubutuuu!!
Kuna watu wanazaliwa kibeba majukumu jama hayo.wewe ukijiona huwezi jua ukuzaliwa ivyo.Kazi yako ni kunufaika na mafanikio au mageuzi yaliyofanywa na wale wenye uwezo na uthubutu.
 
So sad
High degree or level of understanding, reasoning, inteliigence, having foresight, etc, are qualities that could put you in trouble if you have those qualities and you use them when arguing with politicians especially those found in Africa.
 
High degree or level of understanding, reasoning, inteliigence, having foresight, etc, are qualities that could put you in trouble if you have those qualities and you use them when arguing with politicians especially those found in Africa.
You are absolutely right. When an individual demonstrates his/her ability to fend off the rot with a substantial argument the authority rendered the responsibility to have foreseen the consequences of implementing the humiliating policies by prompting the positive mitigating measures, is in the spotlight to face the injustice reprisals.
 
Back
Top Bottom