Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Guys this is enough ...[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Io735sjM230&feature=related"]pateni ujumbe hapa[/ame]
Mkuu Bill with all due respect.Naomba tumtendee haki kwa kutoa taarifa sahihi kumhusu marehemu, pamoja na mapungufu yote aliyokuwa nayo.Just to put the record straight ni hivi:
1.Hakuwahi kuuza nyumba ya urithi.Nyumba aliyouza ni yake na alijenga mwenyewe.. akiwa mmoja wa wakazi wa mwanzo kujenga Mbezi Beach.
2. Hakuwahi kuwa Baharia maishani mwake bali mfanyakazi wa ndege ( Steward) ATC.
3. Hakubakwa bali alijisumu ( commit suicide thru self -poisoning)
Samahani lakini ndiyo ukweli.
MSHIIRI,Hukudokeza ikiwa alibadili jinsia wapi na ikiwezekana lini. Hili ndilo jambo la muhimu likifuatiwa na maelezo yako hapo juu.
MSHIIRI,
LONG TIME! Karibu tena maana sijakuona kitambo.
Naomba umsome HALISI hapo juu utaona ameelezea vizuri sana real history ya Aloo/Hanif aka Victoria.
Asante
Ni fundisho kwa wanaoiendea njia yake!!!!