Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,493
Ahsante kwa kuelewa hichoWork of art...
hawa ndio real artist
Hatari mnoKipaji hiki .....nawaonaga hapa kwa office mafund welding wanapuyanga kwenye kuchora michoro ya mageti mpk wamkodi fundi
Kibongo bongo ni shida kutoboa ila kwa wenzetu duu lazima afike mbaliKwa lugha ya kiufundi, tunasema jamaa anamkono mzuri.
Ebu nirudi kwenye uhalisia sasa, Je kwa ubunifu wa aina hiyo hapa bongo inaweza ikamlipa mbunifu huyo kutokana na thamani ya kazi yake...??
Cha ukweliKipaji cha Uhakika.
Huyu jamaa ni balaa sanaDuh hilo Balangulu kama mwenyewe,Kazi nzuri.
Ni bonge la kipaji sana kwa publicKatika ubongo wa mwanadamu kumejawa na kila aina ya vipaji vya kufikirisha sana,
Hasa pale mtu anapochukua mda wake mwingi sana katika kuutafakari uumbaji wa Mungu na kuamua kufanya kile ambacho kwa akili ya kawaida unaona hakina udhamani wowote ila yeye bado kakifikiria kukifanya hicho hicho ambacho hakina dhamani.
Swali la kujiuliza huyu alitamani awe nani haswa katika kufanikisha azima ya maisha yake ya ubunifu kama huu?
Mimi nimeipenda kazi hii sana hata kwa kuiona tuView attachment 1268928View attachment 1268930View attachment 1268931View attachment 1268932View attachment 1268933View attachment 1268934
KabisaaNi bonge la kipaji sana kwa public
πππππKwa hapa bongo hicho ni kiwanda na jiwe anakuja kukizindua bila hata kuhoji
Duuuh umezama mbali kweliUkiwaza mbali zaidi au nje box, kuna mtu anaweza akachukua wazo(concept) ya huyo msanii kisha akatengeneza kitu cha kutingisha dunia!
Hao nzi wanaweza wakafanyiwa sofiscation wakawa wanaruka kwa kuwa programmed au hata remotely controlled, wakabeba sumu na kwenda kumuangamiza adui akiwa amekaa au amelala au anahutubia wafuasi wake au vyovyote vile