Alipata mimba, ametoa kisha akaachwaa.


dada mkubwa huu ushauri murua kabisa. pendo amtoe clement akilini. yaliyopita yamepita na agange yajayo.
 
pendo kama lilivyo jina ana mapenzi ya dhati hata shetani anamuogopa !!lakini daah............kapanua kaachia kirahisi
 
Kama ni job less thats why anamfuatilia jamaa, but Pendo akubali matokeo, kuachwa sio mwisho wa maisha


Pendo alimaliza elimu ya secondary, still job less.
 
aendelee na maisha yake bila mshikaji lakini asisahau somo kutokana na hilo tukio kwani maji yashamwagika na hayazoleki. jamaa alitaka pa kupunguzia ny-ge zake tu
 
Kwa vijana walio wengi mahusiano yao wakiwa mashuleni na vyuoni ni ya kupotezeana muda tuu hivyo binafsi sishangai kuona kijana akiwa kaachwa au katendwa kwa kuwa kwa age na mazingira waliyonayo ya shule na utegemezi wa kifedha na kimaisha kwa wazazi na walezi hakuna serious commitment.

Ushauri kwa mabinti na vijana wa kiume ni kuwa makini sana kwa mahusiano hasa vyuoni na kwa watu ambao hawajathubutu au bado wako katika utegemezi kimaisha kwa kuwa hawajui maisha na nini wanakifanya kwa wakati huo.
 
Duh pole sana pendo hata asingetoa mimba huyo mwanaume angemwacha tu.
 
Ila mwisho wa siku sie wanawake ndio huwa tunaishia kuwa victims.........

Ni bora kujua nini unataka katika maisha

sanaa...ni bora ukajilinda mapema,like kuhakikisha hamfanyi had avae condom and the like,vngnevyo u'single mother njenje
 
Hapana! Aiwezi kumlipa.

Ndio anastaili mwanaume mwingine mwenye kuishi na mwanamke kwa busara na hekima.


Hilo
ni somo kwake, alipo anguka asimame, apanguse vumbi maisha yaendelee.
 
Hao ninao kueleza ni wale ambao wameshamaliza form 6 na wengine wapo vyuo vikuu, Tatizo lenu haswa kwa watu ambao hawakusoma masomo ya science 0-level hampendi kusoma biolojia ndilp tatizo kubwa kwenu, unakuta mkiulizwa hata maswali marahisi tu mnashindwa lakini kila simu za google na kuangalia ngono na mambo ya udaku mnazo. Mnadhani hapo nani alaumiwe mwanaume?

unahisi kwanini mabinti waliosoma kuanzia 2008 hawajui? ni elimu haitolewi ipasavyo au ni uvivu wa kufatilia haya mambo? hivi lakini kama unatoka na kitoto cha secondary unashindwaje kuwa mwongozo wake? mnawaza kuto.mba tu na kuchapa lapa???
 
Kwa hiyo umeleta hilo tatizo huku,tukushauri ili nawe ukawashauri then uje hapa kujisifu, sindio?
 
Kwa hiyo umeleta hilo tatizo huku,tukushauri ili nawe ukawashauri then uje hapa kujisifu, sindio?

@Masterproud unalikana jina lako, Kuna mtu asiyependa sifa? wa wapi wewe!!!!!!!

 

wewe ukome, nitoe huko kabisaa. ukome tena.
 
Mie nilipiga mimba mke wangu b4 marriage. Nakumbuka nilimshauri kuitoa akagoma kata kata. Hakuwa tayari kuua just kutunza heshima kwa wazazi wetu. Kitendo cha yeye kutoafik kutoa mimba, ilikuwa ni ishara ya upendo wake kwangu. Nilimpokea kwa Mikono miwili, tukatunza ujauzito hadi akajifungua. Ndipo nikajisalimisha, nikapigwa fain, nikalipa na kulipa mahali na nikafunga naye ndoa.

Mwanamke anayekubali kutoa mimba, ni mwuuaji, siku ukimkera hata wewe atakuua tu. Hana huruma
 

Ujumbe wako mkali sana ntamaholo, sijui humu JF wauwaji wa namna hii wako wangapi???? Maana kila kukicha vizaigoti vinanyofolewa kama nini sijui!!!!

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…