Aliomba tuachane sasa hivi anataka turudiane

Aliomba tuachane sasa hivi anataka turudiane

Wakuu nashukuru kwa ushauri wenu.. Sina mpango wa kumrudia hata iweje nataka tu jinsi ya kumfanya aache kunisumbua maana nishawahi hata kumfukuza barabarani mbele za watu ila hakomi na nishamwambia hata iweje kamwe siwezi rudi ila bado anasumbua kinoma wakuu.. Nitafanyia kazi baadhi ya ushauri.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

huyo mwanamke ni kabila gani?
 
kama tayari umeshampata wa kukupenda na kumpenda nakushauri mwambie huyo anayekumbua ukweli mapema kabisa asu=ije akakuharibia kwa huyo anayekupenda
 
Kanunue vigra na pakiti 5 za rough rider funga milango na madishirisha umpe kigegedo na kifiro cha kukomoa cha usiku mzima akitoka hapo hatasumbua tena...!
 
What i know hakuna mkate mgumu mbele ya chai....
Ila simamia msimamo wako mkuu ukitetereka tu umerudisha maumivu kwenye moyo wako na unnecessary mawazo
 
Nadhani jibu sahihi unalo mwenywewe, sidhani kama kuna haja ya kuendelea kupoteza muda hapa kwa ajili ya swala lako.
 
Back
Top Bottom