Aliomba tuachane sasa hivi anataka turudiane

Aliomba tuachane sasa hivi anataka turudiane

mzee Chibai

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
980
Reaction score
243
Nilikua nina girlfriend wangu tulipendana sana alifanya vituko vingi sana kwakuwa nilimpenda nilimsamehe kuna siku nilikuta kwenye simu yake jamaa kamtumia picha ya mgegedo wake kupitia watsup akimkumbusha siku tatu nyuma jinsi alivyomfurahisha siku alivyokula koni vizuri lakini bado nilimsamehe tukaanza upya ( sijui hata nilikua zoba kiasi gani au ndo mapenzi).

Mambo yaliendelea ivyo mara tugombane mara tupatane siku moja tuligombana kidogo tu nilimnunulia juice hakuipenda akaikataa basi nikamwambia chukua hata ukampe mdogo wako ndo ikawa ugomvi usiku akanambia mimi na wewe naoma tuachanae kama ipo ipo tu na kama imepangwa mimi na wewe kuwa pamoja basi itakuwa na haikupangwa basi haiwezekani.

Iliniuma sana but moyoni nikasema hata ivyo umenitesa sana nenda tu. Nilimbembeleza kidogo na kumkumbusha mengi niliyomsamehe but alikataa kata basi nikamtakia maisha mema nikaanza life upya without her miezi kazaa ilipita nikarudia tabia yangu ya uplea but finaly nikanasa tena kwa mtoto wa kichaga mzuri sana aiseee..yupo tafauti sana na yule ex.. tunapendana sana.

Sasa cha ajabu anataka turudiane eti anasema yupo tayari kwa lolote lakini anataka kurudiana na mimi.

Nimemwambia haiwezekani sasa hivi nina furaha sana amkekuwa msumbufu sana ananisumbua sana.

Nimfanyaje uyu mwanaharamu because ananitia hasira.
 
Si umesema uko na mtoto wa kichaga anakupa raha sasa ya nini kuhangaika na anayekunyima raha? hebu endelea kula raha muache aendelee kutumiana migegedo huko whats up
 
Temana nae kamanda,shikilia mtoto wa kichaga ule raha
 
mliachana kipindi cha kiangazi...

sasa mrudiane kipindi cha mavuno..

never be the same again.
 
Mwambie aje kwako aafu uwe umeandaa washkaji walioshiba kama watatu hivi, akifika unawaambia masela " MTU mwenyewe ndio Huyu, mgegedeni kadiri ya uwezo wenu!" Mwenyewe utaona anakung'ang'ania mtoke wote! Na akitoka hapo harudii tena! Onto: asiwe kahaba maana atataka kupewa huo mgegedo wa mande! UKIMWI upo!!!
 
Nimfanyaje uyu mwanaharamu coz ananitia hasira

steamroller-crush-smiley-emoticon.gif
 
mzee kuna wtu mnapenda...yaani unakuta picha ya nani..na jamaa kasifia mgegedo...bado upo tu dah....ni hatari sana sijawahi kuona hiyo...na bado unamuintertain
 
Hapo inaonesha na wewe upo njia panda(staki nataka) kwasababu kama ungekuwa humtaki kabisa usingekuja hata kuomba ushaur hapa. Vipi mm nakushaur umsamehe mrudiane ww unasemaje?? Wewe ndio unafahamu jinsi alivyo kunyanyasa na kukutenda. Vilevile unafaham raha na furaha uliyonayo sasa ukiwa na Mangi.. Amua kile ambacho moyo wako unakutuma.........
 
Wanaogombana ndio wanaodumu.....but km alikuwa na wewe halafu akawa anatoka na mjamaa mwingine na picha juu....km ni mimi na mwambia kwa sasa nipo single na sitaki kuwa na girl friend....kwa sababu huwezi jua bwana labda amejifunza huko alipokuwa anaparingia akaona mara mia kwako na akaamua kuturia na kutii na kuona bora kuturia na wewe
 
Mwambie aje kwako aafu uwe umeandaa washkaji walioshiba kama watatu hivi, akifika unawaambia masela " MTU mwenyewe ndio Huyu, mgegedeni kadiri ya uwezo wenu!" Mwenyewe utaona anakung'ang'ania mtoke wote! Na akitoka hapo harudii tena! Onto: asiwe kahaba maana atataka kupewa huo mgegedo wa mande! UKIMWI upo!!!

Kwahyo wamfanyizie kitu mtungo
 
Mwambie aje kwako aafu uwe umeandaa washkaji walioshiba kama watatu hivi, akifika unawaambia masela " MTU mwenyewe ndio Huyu, mgegedeni kadiri ya uwezo wenu!" Mwenyewe utaona anakung'ang'ania mtoke wote! Na akitoka hapo jharudii tena! Onto: asiwe kahaba maana atataka kupewa huo mgegedo wa mande! UKIMWI upo!!!
hahaaaaa, nimeipenda hii
 
Endelea kula raha kelele za Mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala, labda kama kuna lingine.
 
Nilikua nina girlfriend
wangu tulipendana sana alifanya vituko vingi sana kwakuwa nilimpenda
nilimsamehe kuna siku nilikuta kwenye cm yake jamaa kamtumia picha ya
mgegedo wake kupitia watsup akimkumbusha siku tatu nyuma jinsi
alivyomfurahisha siku alivyokula koni vizuri lakini bado nilimsamehe
tukaanza upya( sijui hata nilikua zoba kiasi gani au ndo mapenzi) mambo
yaliendelea ivyo mara tugombane mara tupatane siku moja tuligombana
kidogo tu nilimnunulia juice hakuipenda akaikataa basi nikamwambia
chukua hata ukampe mdogo wako ndo ikawa ugomvi usiku akanambia mm na ww
naoma tuachanae kama ipo ipo tu na kama imepangwa mm na ww kuwa pamoja
basi itakuwa na haikupangwa basi haiwezekani. iliniuma sana but moyoni
nikasema hata ivyo umenitesa sana nenda tu. Nilimbembeleza kidogo na
kumkumbusha mengi niliyomsamehe but alikataa kata basi nikamtakia maisha
mema nikaanza life upya without her miezi kazaa ilipita nikarudia tabia
yangu ya uplea but finaly nikanasa tena kwa mtoto wa kichaga mzuri sana
aiseee..yupo tafauti sana na yule ex.. tunapendana sana sasa cha ajabu
anataka turudiane eti anasema yupo tayari kwa lolote lakini anataka
kurudiana na mm nimemwambia haiwezekani sahivi nina furaha sana amkekuwa
msumbufu sana ananisumbua sana. Nimfanyaje uyu mwanaharamu coz ananitia
hasira

kata mawasiliano nae.. ukijaribu tu kumpa ka upenyo itakua imekula kwako, huyo atakuwa katendwa na jamaa yake sasa anatafuta pa kupumulia.
 
Wewe SIO PLAYER! Unajaribu jaribu tu uplayer! Tuachie wenye fani zetu.
 
Kiukweli ukikumbukia alivyokutenda,mwambie atampata anayeendana na tabia zake,usiwe mtumwa wa mapenzi.
 
ukiona bado una hasira nae ujue bado una vijielement vya mapenzi on her... usitudanganye hapa eti umepata mangi anakukosha ukweli ni kwmb akili yote inamuwazia huyo kicheche. we umeamua kuachana nae usijishauri au kuuliza watu eti umfanyaje
 
Back
Top Bottom